DCI Manumba: Mwakyembe hajalishwa sumu!

DCI Manumba: Mwakyembe hajalishwa sumu!

Hii ni kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari mchana wa leo. Katika maelezo yake, DCI anasema kwamba:

"Kutokana na uchunguzi wa kipolisi ulioshirikisha Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, hakuna ushahidi juu ya hilo".

Alipoulizwa na waandishi wa habari:

Je, Dr. Mwakyembe anasumbuliwa na maradhi gani?

DCI alijibu kwamba:

"Kazi ya Jeshi la Polisi sio kuchunguza maradhi bali kuchunguza tuhuma, na baada ya uchunguzi wake kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Jeshi la Polisi limebaini kwamba tuhuma kwamba Dr. Mwakyembe amelishwa sumu hazina ukweli."
Huyu DCI ni muongo, leo rais Magufuli katuthibitishia kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu.
Mkuu Mchambuzi, nimependa unavyochambua, ki ukweli unazama deep!.
Nimeupitia uchambuzi wako kuna kitu sijakiona ukikizungumza kuhusu sumu.
Kuna sumu za aina tatu,
1. Intentions or delibarate poisoning, hii ndio ile dhana ya mtu kulishwa sumu, kutiliwa, kushikishwa au hata kutumiwa kwa barua kama 'anthrax', hii ni mtu kupewa sumu be it first poisoning or slow poisoning ila mwisho wa siku mhusika hudhurika!.
2. Food poisoning, hii ni aina ya pili ya sumu ambayo hutokana na kula chakula chenye sumu, mfano kuna baadhi ya mihogo ina sumu, uyoga, na baadhi vya vyakula vya proteion in nature kama nyama, samaki, maziwa, mayai etc ambapo aliyekula vinamdhuru ama instantly kwa kupata rushes, kuwashwa au kupata mafindofindo wanaita 'alergy' au slow reaction ambapo inaibuka baada ya kipindi kirefu na ineweza kuibuka kama kansa etc!.
3. Medical Reaction, japo sumu zote ni chemical reaction, hii sumu ya medical reaction ni sumu inayotokana na reaction ya madawa fulani fulani kwenye mwili wa binadamu mostly kutokana na prolonged use!. Hii humpata mtu ambaye kuna kitu ameugua na ni ugonjwa wa muda mrefu, mtu huyo anakuwa anatumia combination ya madawa fulani kwa muda mrefu imefikia muda madawa hayo yamereact from each other na kugeuka sumu na wakati huo huo mwili unakuwa umetengeza 'antigen' za kukabiliana na hiyo reaction na matokeo huwa ndiyo kama hiyo hali ya Mwakiyembe!.

Wanabodi nilishauri huko nyuma na hapa nashauri tena, tupunguze conspiracy theories tusubiri tamko la Mwakiyembe mwenyewe!.

Japo naye ili kumlindia Sitta heshima, anaweza kusema "Nimesha Muachia Mungu, hivyo naomba nisizungumze chochote"! hivyo kutosema anaumwa nini!.
Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
 
Huyu DCI ni muongo, leo rais Magufuli katuthibitishia kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu.

Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
Mkuu, mbona tuliambiwa humu kuwa aliyemtilia sumu Mwakyembe aliondoshwa kwa sumu kali zaidi baada ya kufanikisha alichotumwa! Ulitaka akamatwe nani kama mhusika alitangulizwa mbele ya haki?!
 
Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
Pascal Mayalla wakati mwingine uwe mkweli! Rais hajasema anawajua bali amesema Mh. Mwakyembe waliwekewa sumu. Hivyo acha kumquote vibaya Mh. Rais. Ndiyo maana uliitwa Bungeni kujieleza unapenda sana kuwawekea maneno watu. Jirekebishe!
 
Huyu DCI ni muongo, leo rais Magufuli katuthibitishia kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu.

Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
Hajasema anawajuwa wahusika!!
 
Huyu DCI ni muongo, leo rais Magufuli katuthibitishia kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu.

Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
Well said Brother na hapo ndiyo ujue kuna shida mahala,mkuu wa Kaya hana siri litakalokuja kichwani yeye analiachia tu arimradi mashabiki wapo
 
Pascal Mayalla wakati mwingine uwe mkweli! Rais hajasema anawajua bali amesema Mh. Mwakyembe waliwekewa sumu. Hivyo acha kumquote vibaya Mh. Rais. Ndiyo maana uliitwa Bungeni kujieleza unapenda sana kuwawekea maneno watu. Jirekebishe!

tatizo letu wabongo ni kuthink out of the box yani hatupendi kuumiza akili kabisaaa

sasa kama Rais anaongea/ kitu cha 7yrs back kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu wewe unafikiri hawajui waliofanya icho kitendo??😳😳

ebu muelewe Paschal kama umeshindwa kuelewa meseji aliyoitoa Magufuli
 
Huyu DCI ni muongo, leo rais Magufuli katuthibitishia kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu.

Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
Kuna watu wengi wema wanapewa sumu nakufa. Lakini waovu wanakomaa kufa na sumu.
 
KWA MWENDO HUU Ipo siku tutakuja sikia SHUMBULUZI LA LISU LILIFANYWA N.A. WATU FULANI

NAIMANI IPO SIKU TU
Akiwa Kyela rais Magufuli amethibitisha Dr. Mwakyembe alitiliwa sumu. Tangu kuibuka kwa kadhia ya sumu ya Mwakyembe, hii ndio kauli from the highest authorities kuwa Mwakyembe alitiliwa sumu. Kutiliwa sumu ni criminal offence ya attempted murder, kama rais anathibitisha Waziri wake alitiliwa sumu na wahusika anawajua na hakuna sio aliyekamatwa, bali aliyehojiwa!, what are the chances kwa wasiojulikana wa Shambulio la Lissu ambao hawajulikani kabisa?.

Hivi katika hili sakata la sumu ya Mwakyembe, iliwahi kuthibitishwa na authorities zozote kuwa ni kweli Mwakyembe alitiliwa sumu, au uthibitisho ndio huu wa leo wa rais Magufuli?.

P.
 
Mkuu, mbona tuliambiwa humu kuwa aliyemtilia sumu Mwakyembe aliondoshwa kwa sumu kali zaidi baada ya kufanikisha alichotumwa! Ulitaka akamatwe nani kama mhusika alitangulizwa mbele ya haki?!
Hebu mtaje mkuu, ni Nani huyo aliyetangulizwa??
 
Pascal Mayalla wakati mwingine uwe mkweli! Rais hajasema anawajua bali amesema Mh. Mwakyembe waliwekewa sumu. Hivyo acha kumquote vibaya Mh. Rais. Ndiyo maana uliitwa Bungeni kujieleza unapenda sana kuwawekea maneno watu. Jirekebishe!
Una ubongo wa kuku ndio maana huwezi kuelewa! Read between the line amewataja wahusika nyambafuuu,

Kamongooo mkubwaa wewe!
 
Lakini hata uchunguzi unasema Mwakyembe hakulishwa sumu.. sasa ikiwa mnasema kalishwa kuna kosa gani kusema hakulishwa... Na kikubwa zaidi hakusema wala kukataa kama sumu imetumika..
Rejea maneno ya Magu.
 
Siungani na Sitta kuwa Mwakyembe alikuwa poisoned lakini pia siwezi kumpinga kwa ushahidi wa Manumba!Yapo maswali ya kujiuliza juu ya jeshi la polisi vs Mwakyembe kabla ya kuafiki alichokisema Manumba. 1.Report ya awali ya police juu ya ajali aliyopata Mwakyembe Iringa ilieza kuwa maelezo ya Mwakyembe juu ya mazingira ya ajali yalikuwa ya uongo kwa kuwa alikuwa amesinzia wakati wa ajali(ikumbukwe kuwa ndani ya gari alikuwemo yeye na dereva tu).Alipohoji namna walivyojua kuwa alikuwa amesinzia,IGP albatilisha report ile;Je,wameshatoa report nyingine? 2.Aliandika waraka mrefu kwa IGP akiliomba jeshi la polisi lichunguze alichokiita njama za kuuawa kwake,watuhumiwa ktk waraka huo ni:Jeshi la polisi,Fred Lowasa(mtoto wa Edward Lowasa) na CASPIAN(kampuni ya Rostam Aziz). Kama kazi ya polisi ni kuchunguza tuhuma kama alivyosema Manumba,uchunguzi wao ulibaini nini? 3.Kama kweli Sitta amelidanganya taifa ni hatua gani za kisheria zinapaswa kuchukuliwa dhidi yake?Ninamuomba MUNGU Sitta awajibishwe tuujue ukweli wote.
Ohooooo !!!!
 
Hii ni kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari mchana wa leo. Katika maelezo yake, DCI anasema kwamba:

"Kutokana na uchunguzi wa kipolisi ulioshirikisha Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, hakuna ushahidi juu ya hilo".

Alipoulizwa na waandishi wa habari:

Je, Dr. Mwakyembe anasumbuliwa na maradhi gani?


DCI alijibu kwamba:

"Kazi ya Jeshi la Polisi sio kuchunguza maradhi bali kuchunguza tuhuma, na baada ya uchunguzi wake kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Jeshi la Polisi limebaini kwamba tuhuma kwamba Dr. Mwakyembe amelishwa sumu hazina ukweli
."
Sasa Kwa nini alisema uwongo kuwa kalambishwa sumu?
 
Back
Top Bottom