DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

Wacha ya mkute. Mwanamke toka lini anafanyiwa wema wa kupitiliza? Hana ndugu wa kusomesha mpk akasomeshe toto la mtu mwengine? Atajifunza kuwa alikuwa hawajuwi wanawake walivyo. kila ukimfanyia wema akuona wewe mjinga.
Mwenye kiranga, haliliwi wala kuwekewa matanga.
 
Yaan ukishakuwa fisiemu kimekuramba,bado kuna hasira kwa wanajamii.Kidonda kisichopona,tutaumizana sana
Hatari sana ,hapo ndipo namkumbuka Lipumba na MUAFAKA/MWAFAKA ,tunahitaji kuyaponya haya majeraha na 4Rs za ukweli tumefikia hatua ya kufurahia majanga ,inasikitisha sana.


Maumivu aliyoyapata Nikki ingekuwa mtu wa IRINGA ilikuwa tayari kashajitundika sema ni Chalii ya Chuga.
 
Hatari sana ,hapo ndipo namkumbuka Lipumba na MUAFAKA/MWAFAKA ,tunahitaji kuyaponya haya majeraha na 4Rs za ukweli tumefikia hatua ya kufurahia majanga ,inasikitisha sana.


Maumivu aliyoyapata Nikki ingekuwa mtu wa IRINGA ilikuwa tayari kashajitundika sema ni Chalii ya Chuga.
Yeah,wagumu sana wale watu.Kameza moto.Lakini inafunza kitu…usimpe asilimia mia binadamu mwenzio.Mbaya sana
 
Na ukiona mwanaume anavaa nguo za rangi sare na mkewe, wewe jua tu ni simp huyo
FB_IMG_1775498123444.jpg
 
Back
Top Bottom