Yeah,huenda lipo!Labda kuna jipya, Ngoja tuone.
Arudishe gharama, asilete ujanja ujanja, ila man nikama yupo poa mana hajasubiri mtoto akue sanaIngekua ni mimi....
Mke anaondoka, mtoto anabaki then huyo anae jiita baba wa mtoto alietoka ndani ya ndoa yangu tutapambana mahakamani mazeee
Sijajua kwanini imeibuka hivi karibuni wakati ina zaidi ya miaka miwili humu kwamba Nikki aka KantreWAIDI aka WUDILENDI kamwagwa na mkewe baada ya Mzee wa Tashwishwi alfu mia KENDA kumpitia kama UPEPo na Kumpiga MITI.Mbona hii issue ni ya miaka hiyooo
Lakini mlivyokomalia ni kana kwamba yametokea juzi.Aisee,walimwengu
😂😂😂😂maneno yako ni ya kichochezi sanaSijajua kwanini imeibuka hivi karibuni wakati ina zaidi ya miaka miwili humu kwamba Nikki aka KantreWAIDI aka WUDILENDI kamwagwa na mkewe baada ya Mzee wa Tashwishwi alfu mia KENDA kumpitia kama UPEPo na Kumpiga MITI.
Acha tu inasikitisha sana ,DC alikuwa kashasahau maumivu yalishakwisha ila wananzengo wanaanza kumkumbusha maamivu.😂😂😂😂maneno yako ni ya kichochezi sana
Ndio maana ilipoibuka suala la DNA bungeni mzee alishusha nondo sana kwamba kitanda hakizai haramuSijajua kwanini imeibuka hivi karibuni wakati ina zaidi ya miaka miwili humu kwamba Nikki aka KantreWAIDI aka WUDILENDI kamwagwa na mkewe baada ya Mzee wa Tashwishwi alfu mia KENDA kumpitia kama UPEPo na Kumpiga MITI.
Ni sahihi. Kila saa ni NIKI, NIKI. Kwani yeye ndiye wa kwanza kuachana na Mkewe?Ni maisha yao acha tupambane na yetu pia..
Ingekua ni mimi....
Mke anaondoka, mtoto anabaki then huyo anae jiita baba wa mtoto alietoka ndani ya ndoa yangu tutapambana mahakamani mazeee
Yaan ukishakuwa fisiemu kimekuramba,bado kuna hasira kwa wanajamii.Kidonda kisichopona,tutaumizana sanaAcha tu inasikitisha sana ,DC alikuwa kashasahau maumivu yalishakwisha ila wananzengo wanaanza kumkumbusha maamivu.
Huyo dogo ni wa dc.