Mbunge na madiwani wako sahihi, yeye alifanya kama mfadhili hivyo akomae.View attachment 1939573
Kinachonisikitisha Mbunge na baadhi ya Madiwani tuliowachagua wanajipanga kumkwamisha.
Wanadai maamuzi ya kukopa ni yake binafsi hivyo wao hawatahidhinisha ili hilo Deni lilipwe na Halmashauri hivyo itabidi alilipe yeye binafsi
Thubutuuu 🤣🤣🤣🤣👆Wale wanaodhani kila anayeteuliwa anafuata maslahi binafsi wajifunze kwamba wapo wanaoteuliwa kuwahudumia wananchi
Mimi ndiyo ninavyoelewa maana ya machinga. Hii ni biashara iliyofanywa maarufu miaka yo 90 Dar. Vijana kutoka mtwara walikuwa wanatembeza bidhaa kama nguo, viatu, dawa za mswaki, sabuni etc...Huo mradi uliibuliwa na yeye mwenyewe kwa mawazo yake au na wamachinga kwa kuzingatia mahitaji na upatikanaji wa wateja?
Kama nini yeye ndiye aliyeibua basi huo ni mradi binafsi kwa jina la machinga yeye katumia fursa tu
Kama ni mradi wa machinga hiyo ni white elephant project maana kiasili machinga hawakai sehemu moja wao wanafuata wateja wao walipo sio mteja amfuate mmachinga
wapi kasema alipwe. mimi huyu mtu sijawahi kumkubali japo simjui wala hakijui na hajawahi kunikosea lakini kuna watu huwa inatokea huwapendi tu bila sababu, ila kwa hili namtetea wapi kasema nirudishiwe.DC hana hoja hapa. Akope yeye halafu halmashauri ilipe kwani ilimtuma?
Mbunge na madiwani wako sahihi, yeye alifanya kama mfadhili hivyo akomae.
Pesa za serikali hazifanyiwi maamuzi na mtu mmoja
Kawaombe na wewe mkopo ujengee wamachinga utajua taratibu zilizofuatwa.
Kwani unataka msando akuwekee taarifa hadharani wewe ukiwa nani? Una msaada wowote kwenye marejesho? Au unataka akuridhishe nafsi yako tuu???
Waja mna taabu sana
cc: @ tume ya maadili ya utumishi wa ummaKama anakatwa Tsh. 2.8 kati ya 3.1 anajikimu vipi huyu mtu? Tungekuwa na Mamlaka za Uteuzi zenye akili huyu Bwana alipaswa akamatwe ajieleze huu utopolo alioongea.. Ila hapa kwetu tusishangae akapewa u-RC kabisa.
Hawa ndio wanaitwa wanasheria wasomi?Ishu ngumu ni kwamba hizo fedha alizokopa kienyeji eti zikafanye kazi Kwenye eneo / Ardhi ya halmashauri
Hicho kitu ni kigumu Mteja wa gigy money hapo amechemka.
Labda akanunue Ardhi yake sehemu nyingine ndio apeleke huo Mkopo wake wa kuwasaidia hao wamachinga
Atafanyaje bila kushirikisha Full counci ?? Akatwe tu kwa kweli madiwani washikilie hapo hapo ili watu wajifunze kuwa na mipaka ya kiutendajiView attachment 1939573
Kinachonisikitisha Mbunge na baadhi ya Madiwani tuliowachagua wanajipanga kumkwamisha.
Wanadai maamuzi ya kukopa ni yake binafsi hivyo wao hawatahidhinisha ili hilo Deni lilipwe na Halmashauri hivyo itabidi alilipe yeye binafsi
Unavijua?atoe cash mfukoni sio kukopa kwa dhamana ya mshahara wa dc,huo ni utapeli wa kisiasaKwani anachanzo kimoja tu cha kujiingizia pesa?
Ameweka wazi kabisa kwamba amefuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kupata approval ya muajiri wake, na kutimiza vigezo na masharti ya taasisi alimokopa
Bank wanajua kuna teuzi na tenguzi na wanazingatia hilo pamoja na vigezo vingine, kupewa pesa ni jibu tosha amekidhi vigezo vyao
Ahsante kwa kunisahihisha kiongoziSio msanii nandi Bali alikuwa ni limalaya maarufu kwa Jina gigy money.
Ngoja niitafute ile video niilete
Machinga lazima wapangiwe maeneo maalumHili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Mkuu wabongo ni issue sana mtu kajitolea lakn bado maneno kibao,Ameweka wazi kabisa kwamba amefuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kupata approval ya muajiri wake, na kutimiza vigezo na masharti ya taasisi alimokopa
Bank wanajua kuna teuzi na tenguzi na wanazingatia hilo pamoja na vigezo vingine, kupewa pesa ni jibu tosha amekidhi vigezo vyao
Naona mnaupiga wa Kitoto sana Kwa huyu msaniiTunaongelea habari ya yeye kuwasaidia wamachinga mkuu...
hiyo mambo sijui traitor, msaliti wa demokrasia, muuaji mkubwa, mkandamizaji wamachinga wa morogoro hawaijui, hata sisi wengine hatukuelewi labda uje na ushuhidi
Unajua vyanzo vyake vingine vya mapato nje na u DC? Msando ndo alivyo, sikuzote hupenda kujitoa na kutatua matatizo kwenye jamii inayomzunguka. He is not perfect ila anajitahidi. Kazi ya uongozi mwenye nafasi yoyote ile motive sio pesa ila kuleta suluhu ya matatizo yaliyopo.Kama anakatwa Tsh. 2.8 kati ya 3.1 anajikimu vipi huyu mtu? Tungekuwa na Mamlaka za Uteuzi zenye akili huyu Bwana alipaswa akamatwe ajieleze huu utopolo alioongea.. Ila hapa kwetu tusishangae akapewa u-RC kabisa.
Wewe mkuu hauko siriazi,Mimi Nina watoto wanne,na mke nimejenga,na ninaishi vizuri kwa mshahara wa sh 200,000/ ije kuwa yeye na sh.800,000/?Kama anakatwa Tsh. 2.8 kati ya 3.1 anajikimu vipi huyu mtu? Tungekuwa na Mamlaka za Uteuzi zenye akili huyu Bwana alipaswa akamatwe ajieleze huu utopolo alioongea.. Ila hapa kwetu tusishangae akapewa u-RC kabisa.
Hulalagi wwe!?
au huna mume!
mida ya wanga hii