- Thread starter
- #121
ubadilishaji mita ni bure hutakiwi kutoa hela yoyote. unit moja ni Tsh 1663Eti.ukiwa na mita ya zaman.alafu ikaharibika.mkaja kubadilisha.je inakuwa mmeitoa bure au nailipia kwenye bili?
2.maji mnauza sh ngapi kwa unit.kwa DAR?