Hello DAWASA, ninaishi mbezi beach, tatizo langu no namba iliyoandikishwa kwenye meter haitumiki kwa sasa kwa kuwa nilimuandika mke wangu na ameenda masomoni nje ya nchi hivyo sipati bili za maji kwa wakati na hii inanisababishia usumbufu mkubwa sana including kukatiwa maji kwa bili ndogo mno.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866
Control no kwasasa hazibadiliki,Naomba kuuliza kupewa bili kwanjia ya simu, ni mda sasa kila nikijaribu kuangalia bili kwa njia ya cm sipewi majibu na salio nakua nalo.
Swali lingine ni kuhusu namba za malipo (control number) kwa mwaka huu hamtakua mkizibadilisha Tena? Naomba majibu tafadhali
Nenda kwenye ofisi zao ukiwa na barua ya kuomba kubadilishiwa no ya Simu,uiweke hiyo inayopatikana! Au mtafute anaewasomea meter umuelezee atakusaidia. But muhimu uwe unaijua acc no yakoHello DAWASA, ninaishi mbezi beach, tatizo langu no namba iliyoandikishwa kwenye meter haitumiki kwa sasa kwa kuwa nilimuandika mke wangu na ameenda masomoni nje ya nchi hivyo sipati bili za maji kwa wakati na hii inanisababishia usumbufu mkubwa sana including kukatiwa maji kwa bili ndogo mno.
Nifanyaje niweze kubadili namba ili niweze kuweka ya kwangu ili nipate bili za maji na kulipa kwa wakati?
Thanks nilimpata anaesoma bili nikamuelezea I hope mwezi huu nitapata bill kwa namba yangu.Nenda kwenye ofisi zao ukiwa na barua ya kuomba kubadilishiwa no ya Simu,uiweke hiyo inayopatikana! Au mtafute anaewasomea meter umuelezee atakusaidia. But muhimu uwe unaijua acc no yako