DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

Inabidi tumuombe waziri Awesu River side ubungo Hakuna maji siku nne. Na hii inajirudia Rudi Mara kwa Mara na Hakuna taarifa.

Leo siku ya nne hakuna maji..
Upande wa kushoto kuelekea buguruni ukitokea daraja la Kijazi
 
KASTAMA KERO.

kastama kero.jpg
 
Hiv dawasco sie wakaz wa sinza D tumewakosea nini.. maji wiki ya tatu hakuna, tukiwapigia hamtupi majibu ya kueleweka...achen ukiritimba token huko mlikojichimbia nje mtatue kero za wananchi
 
Hapa Kerege CCM, Bagamoyo maji hayana pressure na upande mwingine hakuna maji kabisa, tatizo ni nini?
 
huyo msomaji wa mita hasomi vizuri manake mita yangu sshv inasoma 5540 wao wameleta bili inasema kutoka 5446 mpk 5496 nimetumia unit 50 yani wanakisia tu hiyo hotel tu nadhani hawatumii Lita 1666!!
Itakua mita sio yako hiyo
 
Dawasa kuna maeneo mmekata maji wiki ya pili Sasa na hamtoi taarifa mfano kijitonyama ally maua, mikocheni B, mnazi Mmoja watu tunahangaika dumu limefikia kuuzwa elfu Moja
 
Dawasa kuna maeneo mmekata maji wiki ya pili Sasa na hamtoi taarifa mfano kijitonyama ally maua, mikocheni B, mnazi Mmoja watu tunahangaika dumu limefikia kuuzwa elfu Moja
Kabisa kabisa tatizo limesha kuwa kubwa saaaana, nashangaa Dawasa wapo kimya na ukiwapigia simu wanasema ombeni mungu kuna ukame Ruvu pamekauka, lakini cha kushangaza maeneo mengine maji yapo.

Na bei za maji ya chumvi juu boza lita elfu 5000 ni sh 60,000/= na dumu sasa 1000/= hadi 1500/=

Na wapo kimyaaaaaa nimeulizia sio muda wamesema tunashugulikia yaani majibu yanakatisha tamaa.
Hali sio nzuri kabisa , kila kitu tabu mafuta juu maji hakuna na majibu hovyo.
 
Kabisa kabisa tatizo limesha kuwa kubwa saaaana, nashangaa Dawasa wapo kimya na ukiwapigia simu wanasema ombeni mungu kuna ukame Ruvu pamekauka, lakini cha kushangaza maeneo mengine maji yapo.
Na bei za maji ya chumvi juu boza lita elfu 5000 ni sh 60,000/= na dumu sasa 1000/= hadi 1500/=
Na wapo kimyaaaaaa nimeulizia sio muda wamesema tunashugulikia yaani majibu yanakatisha tamaa.
Hali sio nzuri kabisa , killa kitu tabu mafuta juu maji hakuna na majibu hovyo.
Yani kwakweli hii kitu siielewi imekaaje...Yani ni mateso
 
maji kiwalani imekuwaje watu wanatumimia maji ya mashimo machafu tulijua tumeshatoka huko mnaturudisha huko .sasa wiki ya 3 hakuna maji wapemba nao walishaacha kuuza maji.hali ni mbaya na inatisha .hamtoi taarifa kama kuna shida gani plz kabla yakuandamana kwenda kwa Awesso tunaomba tujue shida nini
 
maji kiwalani imekuwaje watu wanatumimia maji ya mashimo machafu tulijua tumeshatoka huko mnaturudisha huko .sasa wiki ya 3 hakuna maji wapemba nao walishaacha kuuza maji.hali ni mbaya na inatisha .hamtoi taarifa kama kuna shida gani plz kabla yakuandamana kwenda kwa Awesso tunaomba tujue shida nini
Watu wa JIJINI poleni naona ni shida

Na joto hilo mnaoga nini sijui
 
Zibeni mabomba yanayomwaga maji hovyo aisee inauma kuona watu tunaangaika na maji namna hii afu kuna sehem maji yanamwagika tu
 
Maji Maji Ali Mau kijitonyama - siku ya tano leo hakuna kabisa, wanapewa wenye michongo na wafanyakazi wenu Dawasco!

Wiki tatu za nyuma yalikuwa hayatoki baadaye siku tano tena wamekata , mbona wenye mchongo wanapata munatulazimisha kutafuta namba zao sasa ili tuwape pesa ?

Jamani nchi kwa sasa umeme shida na maji shida - imebaki roho zetu tu.
 
Kumekuwa na mgao wa maji ambao sijawahi kuuona kwa mda mrefu sana.
Tatizo tunaambiwa kuwa kuna upungufu mto Ruvu sasa kama maji yamekauka katika mto Ruvu shirika lina mpango gani kuhakikisha kuwa wateja tunapata maji bili ya Tatizo lolote.
 
TUNGI KIGAMBONI HATUNA MAJI TUNAENDA WIKI YA PILI SASA...SIJAJUA RATIBA ZA HUU MGAO ZIPO VIPI....TUNATESEKA JAMAN....,PAKA NATAMAN ZAMA ZA MAJI YA CHUMVI ZIRUDI.....MGAO BILA RATIBA RASMI NI URASIMU NA UONGO TU....
 
Hiv dawasco sie wakaz wa sinza D tumewakosea nini.. maji wiki ya tatu hakuna, tukiwapigia hamtupi majibu ya kueleweka...achen ukiritimba token huko mlikojichimbia nje mtatue kero za wananchi
Queen jirani njoo uchote kwetu sinza Palestina
 
Back
Top Bottom