vantz
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 1,107
- 567
Karakata Ni wapi huko mkuu?Kuna wafanyakazi wa Dawasa wanajihusisha na kufungia watu maii kwa njia ya wizi? Mitaa ya huku airport karakata, kuna mama anapita kukusanya majina ya watu wanaotaka maji na baadae huchukua hela na kumleta fundi wa dawassa kuunganisha maji...
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app