Mzee wa Chai
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 708
- 1,270
Wajinga ni wengi humu
Ni mwendo wa kuwindana tuMsibani
Hahaha 😆 😂
Sina mashaka na Hilo sema off target zimekuwa nyingi sana 😆Yaani unapata shida na mtu anaemiliki na kutawaliwa na spirit of death
Hebu tunalizane na Jenista mhagama
Ayu ng'huona mahala gachepucheMkuu, "kodo dyako"!!, mh, kuliga?
Unamaanisha nani mjinga?Yoga ndio unawatapeli hapa watu na kistory chako hakina mbele wala nyuma?kweli wajinga ndio waliwao
HahaaaNi mwendo wa kuwindana tu
Ss mbonaSina mashaka na Hilo sema off target zimekuwa nyingi sana 😆
Watuona sisi kama mat*ko Yao eehSs mbona
Video tunawekewa za nyuma? Mwendo wa picha tu?
Anyway ngoja tusubiri mdibani
Hilo usemalo linatokea Sudan Kusini, Sudani (Kaskazini), na Ethiopia.Haya anayotusimulia Yoga yamekaa kama hadithi lakini ya kutisha
Fikiria vikosi vya jeshi viwe viwili, kimoja kinamtii huyu na kingine kinamtii yule, idara za usalama mbili, hawa wanapokea order kwa huyu na wale wanapokea kwa yule. Mwisho wa hili picha lazima watapima nguvu tu
Wengi mno...Wajinga ni wengi humu
Ni mzima wa afya tele...atakuepo msibani ..tena hao Mungu ndio huwalinda zaidi ...je hamjui neno la Mungu lasema japokua dhambi zenu zi nyekundu kama damu....Ss mbona
Video tunawekewa za nyuma? Mwendo wa picha tu?
Anyway ngoja tusubiri mdibani
Ataaga mwili labda wa mbungeWatuona sisi kama mat*ko Yao eeh
Yuko bize anaandaa wimbo wa maombolezoYoga?!
Ngoja tuoneAtaaga mwili labda wa mbunge