Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

...watapima nguvu tu
Walishapimana...na upande mmoja ukasalimu amri.

Kumbuka upande mmoja unaweza kutumia vifaa vya upande mwingine lakini upande mwingine haudhubutu kutumia vifaa vya upande mmoja!!! Upande mmoja unapata ruzuku maradA dufu ya Upande mwingine...

.hilo tu linatosha kuonyesha Upande mwingine haiwezi Hata siku moja kuwaza kupimana nguvu na upande mmoja!!!
 
Walishapimana...na upande mmoja ukasalimu amri.

Kumbuka upande mmoja unaweza kutumia vifaa vya upande mwingine lakini upande mwingine haudhubutu kutumia vifaa vya upande mmoja!!! Upande mmoja unapata ruzuku maradA dufu ya Upande mwingine...

.hilo tu linatosha kuonyesha Upande mwingine haiwezi Hata siku moja kuwaza kupimana nguvu na upande mmoja!!!
Hii ni hatari kubwa
 
Ila nacheka
Kipindi cha magu ilikuwa hivihivi mtu ana hali mbaya mpk anaondoika wanakaa kimya!after 10 days+wanakuja kutuambia

Naomba kuuliza ,hivi wafungwa huwa wanapewa msamaha na rais lini?

Hakafu kwann pm ndo anaveba majkumu ta rais na sio vice?
Wafungwa hupewa msamaha na rais siku ya uhuru hahahaaaa Bradiga Sataya haka hayo ni maswali fikirishi a.k.a chokonozi
 
Back
Top Bottom