Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Hapana , fikiria motive za mtoa zawadi × nini anagain ×nini angelose = kajipiga risasi miguuni wakati safari mbichi haimake sense
Anagain uaminifu wa mpewa zawadi....uaminifu unaotokana na hofu ya yanayoendelea na kumuona mtoa zawadi ni rafiki wa kweli maana amesimama naye kwenye nyakati hizi ngumu. Katika uaminifu huo ndipo atazidi kusimama kama injini
 
😂😂😂😂😂 sasa mahii, hii ya kurudia unatonesha vidondaa.
Yaan mie nikiona ndani ya story kunae huyo mtoa zawadi, nachukia na kukereketwaa, yaan naumia hatariii.

Sasa wee mahii, mko huko koridoni mnashindwa namna ya kumng'oa kucha huyo mtoa zawadii?? 😂😂😂😂😂

Afu vipi kuhusu mpokea zawadi, tunasikia tetesi eti anao anao, jeee?? Kulikoniii??
Tujuzeeee
hahaha aiseee.....
 
Anagain uaminifu wa mpewa zawadi....uaminifu unaotokana na hofu ya yanayoendelea na kumuona mtoa zawadi ni rafiki wa kweli maana amesimama naye kwenye nyakati hizi ngumu. Katika uaminifu huo ndipo atazidi kusimama kama injini
Cost yake ni kubwa kuliko reward , Kama tunaamini mtoa zawadi Ana akili na resources
 
Back
Top Bottom