Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Wale ambao tulikuwa tuna mfuatilia yule dada na aliyoongea polepole hakuna jipya tunayafaham haya

Na uzuri code zipo wazi!

#anyway acha tusubiri tangazo ss,ht yeye lzm aondoke tu halafu tuone ss#
Vyote hiv Ne polepole na idara nzima ya Taifa ya wazalendo wanafahamu.
Ni guts tu za kuamua.

Ndo maana polepole alikuwa anarudia mara nyingi nyingi kuwa TUNZENI TAARIFA
 
Imradi pua imeangalia chini hamna mtu untouchable hapa duniani (refer diddy) linaweza tokea Jambo dogo tu likadondosha empire nzima
Na ndo kitakachotokea.

Kwa hiz lockdown na kuvuruga nchi kupitiliza.
Wapo watu watajitoa muhanga.

Kuna Rafiki yangu Mmoja mwanajeshi ashaanza kusema ya nini yote haya
 
All in all rasimal znapigwa balaa yaani ni kitengo juu ya kitengo kazi juu yakaz
Na hoa wote ma reporter wanakula posho na mishahara kama yote yaani security ndani ya security hapa hela znachezewa na ma top tuu .sema born town ni master mind hatar 🙌 kila aliyejaribu ku messup naye alilamba nyasi itoshe kusema kikao cha panya kumfunga paka kengele hakikuisha waliishia kukimbia:::system ndani ya system:deep state kwenye developing countries wanakimbiza sana coz wana access karibu kila angle muhimu za nch
 
All in all rasimal znapigwa balaa yaani ni kitengo juu ya kitengo kazi juu yakaz
Na hoa wote ma reporter wanakula posho na mishahara kama yote yaani security ndani ya security hapa hela znachezewa na ma top tuu .sema born town ni master mind hatar 🙌 kila aliyejaribu ku messup naye alilamba nyasi itoshe kusema kikao cha panya kumfunga paka kengele hakikuisha waliishia kukimbia:::system ndani ya system:deep state kwenye developing countries wanakimbiza sana coz wana access karibu kila angle muhimu za nch
Ss na yeye analamba nyasi muda umefika
Wataongozana tu hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha
 
Haya ya sasa hakuna asiyeyajua, yako wazi siku nyingi na kibaya zaidi huyo mtoa zawadi heshima yake imeshuka kwa jamii baada ya yote hayo kujulikana

Ndiomaana hakuna atakayekaa ajue balozi wa nyumba kumi alipatwa na nini wala kuona unywele wake kwani aliwapandisha joto sana kiasi cha kuwalazimisha kutumia Tindo kusafishia palipoota kutu na sasa wameamua kuiweka Tindo hiyo mfukoni kabisa kwa matumizi ya baadae
 
Back
Top Bottom