cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Hapana sio tapeli, ila hii ya shadow prezoo, episode ya jana, alishaoleta hapa hapo kabla, unless awe amesahau yeye binafsi.Bora sasa watu mmeanza kujua huyu mtu ni tapeli!
Hapana sio tapeli, ila hii ya shadow prezoo, episode ya jana, alishaoleta hapa hapo kabla, unless awe amesahau yeye binafsi.Bora sasa watu mmeanza kujua huyu mtu ni tapeli!
😂😂😂😂😂 sasa mahii, hii ya kurudia unatonesha vidondaa.Ukiangaliga zile sizoni , SI waga Kuna previously....... 😂
Mahiiii, em shusha hiyo moviee, nachekaaaa.😂😂😂😂 Asanteee,, hii ndo nwyinywiiii sasa 😂
Ni kweli malkia amekata moto ?😂😂😂😂 Asanteee,, hii ndo nwyinywiiii sasa 😂
😂😂😂Ukiangaliga zile sizoni , SI waga Kuna previously....... 😂
Kesho tutamaliza utata wanasema ana pressNi kweli malkia amekata moto ?
Duh britanicca nae sijui bipi jmnHadi hapa siamini yeyote labda Chahali, Britanicca, Ninja vinaweza kuwa vyanzo vyenye kuaminika.
Akili yangu inanituma kuamini,
Sheikh Hasina yuko likizo baada ya heka heka za kuchangua ndani ya chama, kampeni na uchafunzi wao ule na sasa yuko likizo na wameamua kutengeneza propaganda.
Mi nasubiri press yahe kesho ya kushukuru wazee kuwakanya watt wao wasitoke d9Watu wa ramri washaanza eti wanasema yupo anachapa kazi
Watu wanapenda na tetesi kipindi Cha kampeni waliwahi kumzushia JK mpaka mwenyewe akajitokeza na kukanushaMi nasubiri press yahe kesho ya kushukuru wazee kuwakanya watt wao wasitoke d9
Wanasema ni kesho
Ndo tutajua
Yupo sema anatafuta kiki aje na vichambo vingine kama vya mzee wasoga anayemtakia mabaya yeye yatamrudia mwenyeweMbona manabii wanamsagia kunguni huyu mpewa zawadi. Kama yupo kibraa.
Wengi wameamini tetesi na washaanza kufungua nyuzi mitandao za kujifarijiYupo anajiandaa kuja na vichambo vya haja mbona mtakoma
Yupo anajiandaa kuja na vichambo vya haja mbona mtakoma
Naanza kuelewa.Mtoa zawadi kajipanga Hata wale dissdents walioko Ng'ambo, ni projects zake. Kuna mtu aliuliza bi Dada msema ovyo...aliwahi kushambulia Matunda ya mtoa zawadi live? Jibu sikupewa....the so called 'sauti ya radi' Hata na 'expired kitengo' naye ni projects za mtoa zawadi!!!
The "gudi singi' mtoa zawadi ana sucession plan robust!!!
Image kama mtoa zawadi alikuwa amemuweka kwapani "muhabhana" ...Kuna kazi ndogo hapo?
===
Acha tuchezewe shere...hadi tupate mfalme wa Thailand.
Hapana , fikiria motive za mtoa zawadi × nini anagain ×nini angelose = kajipiga risasi miguuni wakati safari mbichi haimake senseNakubaliana na wewe katika hili, hata hao Gen -Z walioibuka kwa kasi ya 5G ni sehemu ya project ya mtoa zawadi