win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,695
- 7,918
sawa familia one love sisy😊Who r u?😅😅😅😅
Mimi ndiye usiogope
Nimeona nimuweke huyo kwa muda
sawa familia one love sisy😊Who r u?😅😅😅😅
Mimi ndiye usiogope
Nimeona nimuweke huyo kwa muda
Pamojasawa familia one love sisy😊
nimekuona unapita kmy kimyaPamoja
Ngoja nishangile Benin wajeda washafanya yao
Huwa nina maswali yangu, mfano Kuna watu milion 2 hawakubaliani na kinachoendeea, mtaua watu milion 2??
Yoga alishawahi kulalamika humu Buyobe alikuwa anaiba na kukocopy baadhi ya episodes za humu Vilevile nyingine kuzimodify kidogo na kupost kwenye account yake ya X na nyingine kuuza kwenye Magroup wake.Kwani Yoga = buyobe ??
Mkuu mara nyingi nimekua nikisema watu wawe watulivu wa kusoma na kuelewa.Ni nchi gani uliona maandamano ya watu milioni 2 tuanzie hapo
Nimekuelewa Mkuu... Nimekosa mimiMkuu mara nyingi nimekua nikisema watu wawe watulivu wa kusoma na kuelewa.
Sijasema watu wote milion 2 wataandamana kwa pamoja. Nachosema kama Kuna watu million 2 hawakubaliani na kinachoendelea basi hata mkiua wataondamana dec 9, bado kuna wengine watajitokeza tarehe nyingine, nao mkiua watajitokeza wengine tarehe itayofuata. Hapoo ndio swali langu lilipo mtaua wote hao?
Jukwaa limekuwa na woga sana.
Kwanza katusubirisha hadi disemba, kisha katubadilishia theme. Akatuwekea nansiku lkn hajatokea.Yoga alisema jumamosi usiku na hii ni jumapili tayari ila hakusema nini kitatokea tungemkaanga leo
Wakuu Kwani tunamlipa shilingi gapi hadi tuwe tunamlalamikia kiasi hiki?Kwanza katusubirisha hadi disemba, kisha katubadilishia theme. Akatuwekea nansiku lkn hajatokea.
Hapo umesingizia,dira huwa haidanganyi,tulipo watu hatufuati dira tunafuata maelekezo ili tuwe salama.Wanaoifuata dira ndo wanaitwa waasi wanafanyiwa pyu pyu.The compass keeps pointing north, but the traveler insists on walking south.”