Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Hicho kitu nimewaza muda si mrefu. JPM angekuepo asingeuwawa hata mtu mmoja. Watubwangejitokeza kupiga kura kwa wingi.

Ingetemea pia na mambo ambavyo yangeenda, Japo tunajua kama kungekua na maandamano, Lazima nguvu kubwa ingetumika kuzima maandamano.

lkn isingekua masaccre ya kila kinacho onekana kama hvi
 
Hapo ungejibu Tu ukweli. Sio MUHIMU kutupa matumaini hewa. Truth shall set us Free
Ok!!

👉Naomba ujue kuwa kwanza hawajamtangaza kwa bahati mbaya, hii ilikua ni Moja ya steps kwenye plan Yao kuu ya 2030.

👉Pili hIlo genge lake liko serious kuliko mnavyo lichukulia, Kuna mambo mazito limefanya (biashara)kwa interest zao na wanahitaji kuzilinda Tena with a very strong back up!

👉Nature itaamua na Si vinginevyo!!
 
Ok!!

👉Naomba ujue kuwa kwanza hawajamtangaza kwa bahati mbaya, hii ilikua ni Moja ya steps kwenye plan Yao kuu ya 2030.

👉Pili hIlo genge lake liko serious kuliko mnavyo lichukulia, Kuna mambo mazito limefanya (biashara)kwa interest zao na wanahitaji kuzilinda Tena with a very strong back up!

👉Nature itaamua na Si vinginevyo!!
Hii ya kusema nature itaamua ni kama kuona watanzania wote ni wapumbavu kwamva hawawezi kujiamulia wanasubiri maajabu.
 
Hii ya kusema nature itaamua ni kama kuona watanzania wote ni wapumbavu kwamva hawawezi kujiamulia wanasubiri maajabu.

Sio wapumbavu, They don't have power to do that.

Ukishaona serikali inatumia mecenaries kwa raia wake, ujue hilo ni genge tu kama magenge ya madawa ya Mexico and they dont give a fvck how much u gona die
 
Ok!!

👉Naomba ujue kuwa kwanza hawajamtangaza kwa bahati mbaya, hii ilikua ni Moja ya steps kwenye plan Yao kuu ya 2030.

👉Pili hIlo genge lake liko serious kuliko mnavyo lichukulia, Kuna mambo mazito limefanya (biashara)kwa interest zao na wanahitaji kuzilinda Tena with a very strong back up!

👉Nature itaamua na Si vinginevyo!!
Ume andika kama vile hao watu wachache wana nguvu saana ya kupambana na watanzania woote , ni hivi hakuna cha nature bilq misukule ya PT na JW hii kazi inaisha mapema sana
 
Back
Top Bottom