Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Ujumbe huu sijui umfikie nani ila probably Mr chapchap but sure kwamba kama atasafiri hivi karibuni basi asiishie kubadilisha ruti tu bali abadilishe hadi destination, kwasababu washajua kama akisafiri atapita Njia fulani na possible destination itakua somewhere, so wakati wa usiku akipokelewa kama mgeni na kijana mmoja a few moment later watawapokea wageni wengine wenye siraha za moto... Baada ya hapo sijui nini kitaendelea.
au sio!
 
Ambao amja elewa if he makes it bwana pole pole
The cabal mzee alie goma kustaafu bado yupo yupo sana pigo alija mpapasa vilivyo
 
Back
Top Bottom