Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Ujumbe huu sijui umfikie nani ila probably Mr chapchap but sure kwamba kama atasafiri hivi karibuni basi asiishie kubadilisha ruti tu bali abadilishe hadi destination, kwasababu washajua kama akisafiri atapita Njia fulani na possible destination itakua somewhere, so wakati wa usiku akipokelewa kama mgeni na kijana mmoja a few moment later watawapokea wageni wengine wenye siraha za moto... Baada ya hapo sijui nini kitaendelea.
 
Muda unazungumza
Nilipoona aliyetembeza kichapo Lugalo Enzi za mkoloni anarudi kwa Kasi na kuboresha miundombinu yake kule kasoro dimbwi nakajua amehakikishiwa barizi la maana! Hakuna Tena changamoto ya awali alipostukiwa Kwa hiyo, Wenye Kampuni waweke Maji kichwani tayari kinyozi afanye kazi yake.
 
Nilipoona aliyetembeza kichapo Lugalo Enzi za mkoloni anarudi kwa Kasi na kuboresha miundombinu yake kule kasoro dimbwi nakajua amehakikishiwa barizi la maana! Hakuna Tena changamoto ya awali alipostukiwa Kwa hiyo, Wenye Kampuni waweke Maji kichwani tayari kinyozi afanye kazi yake.
Hii kodi ngumu msaada tafadhali
 
Akamuita dactari wake, (yule daktari aliye shughulika na kipenzi chake three monthes ago
emoji857.png
) The doctor after reciving a call from the CEO!! he knew picha limeanza!! So he notified the old CEO. The old CEO called his team!! And said "the first symptoms have begun, stage three should be initiated"
...
 
Back
Top Bottom