Duh!Muda unazungumza
Ongea uelewekeeMuda unazungumza
Nilipoona aliyetembeza kichapo Lugalo Enzi za mkoloni anarudi kwa Kasi na kuboresha miundombinu yake kule kasoro dimbwi nakajua amehakikishiwa barizi la maana! Hakuna Tena changamoto ya awali alipostukiwa Kwa hiyo, Wenye Kampuni waweke Maji kichwani tayari kinyozi afanye kazi yake.Muda unazungumza
Hii kodi ngumu msaada tafadhaliNilipoona aliyetembeza kichapo Lugalo Enzi za mkoloni anarudi kwa Kasi na kuboresha miundombinu yake kule kasoro dimbwi nakajua amehakikishiwa barizi la maana! Hakuna Tena changamoto ya awali alipostukiwa Kwa hiyo, Wenye Kampuni waweke Maji kichwani tayari kinyozi afanye kazi yake.
One thing the old CEO was good at , ni kuplay the game all along without being noticed!! You know why and how!! He is a well trained spy and a mafia kitambo sanaaaaaaa!! And he has connections
...Akamuita dactari wake, (yule daktari aliye shughulika na kipenzi chake three monthes ago) The doctor after reciving a call from the CEO!! he knew picha limeanza!! So he notified the old CEO. The old CEO called his team!! And said "the first symptoms have begun, stage three should be initiated"![]()
hii code ilinishinda ...sasa naanza kupata mwanga.The deep informal is told to stay out!...
Wewe ni chawa wa Samia tunakujua sanaTukutane December 2025 😂😂
Unacheka lkn unaogopa🫡🫡😂 Duh!! 😂😂 Utakuja kuelewa badae sana #tukutanedecember
december mbali, october 29 tu hapo inatosha...Tukutane December 2025 😂😂