Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Ya Leo ya Captain Tesha mbona yanatisha,jamani lile sio akili mnemba kweli lishanembesha watu wanasikilizia mtiti kumoyo.?
 
yoga , hii vita ya wanamtandao vs Pro Magufuli ,unahisi inalisaidia taifa??

Coz Pro Magufuli wanapambania ugali wao kwa kujiita Wazalendo! Mtandao nao vilevile wanalinda maslahi yao!

Ukiangalia kwa jicho la tai, haya makundi ni tatizo coz hakuna hata moja lenye nia thabiti la kulisaidia taifa!

Wateja wa kampuni wanacheza ngoma wasiyoifahamu!

Huwa nawaambia tatizo kuu la elimu yetu ni kufanya watu wasifikiri kwa kutumia fikra tunduizi! Tunaendeshwa sana na mhemko, papara,pupa na hisia!
 
Nani alikudanganya kwamba hakutakua na makundi nchini? Cha msingi hao wa mtandao hatuwataki hata kama pro magu nao wanataka maslahi yao bora tuyaondoe haya mashetani ya kina kikwete maana yamezidi ukatili na ubinafsi! Kama hujachagua upande mpaka sasa tulia tuu maana moto ushawaka hakuna kubembelezana!
 
Nilipoona aliyetembeza kichapo Lugalo Enzi za mkoloni anarudi kwa Kasi na kuboresha miundombinu yake kule kasoro dimbwi nakajua amehakikishiwa barizi la maana! Hakuna Tena changamoto ya awali alipostukiwa Kwa hiyo, Wenye Kampuni waweke Maji kichwani tayari kinyozi afanye kazi yake.
Mambo ya kolito sio, teh teeh teh
 
yoga , hii vita ya wanamtandao vs Pro Magufuli ,unahisi inalisaidia taifa??

Coz Pro Magufuli wanapambania ugali wao kwa kujiita Wazalendo! Mtandao nao vilevile wanalinda maslahi yao!

Ukiangalia kwa jicho la tai, haya makundi ni tatizo coz hakuna hata moja lenye nia thabiti la kulisaidia taifa!

Wateja wa kampuni wanacheza ngoma wasiyoifahamu!

Huwa nawaambia tatizo kuu la elimu yetu ni kufanya watu wasifikiri kwa kutumia fikra tunduizi! Tunaendeshwa sana na mhemko, papara,pupa na hisia!
Natamani ni jibu lakini tuupe mda mdawake, uliowataja hawana shida, shida ni hao "wateja"
 
Hii taarifa ni ilidecodiwa kutoka katika coded dream.
Ujumbe huu sijui umfikie nani ila probably Mr chapchap but sure kwamba kama atasafiri hivi karibuni basi asiishie kubadilisha ruti tu bali abadilishe hadi destination, kwasababu washajua kama akisafiri atapita Njia fulani na possible destination itakua somewhere, so wakati wa usiku akipokelewa kama mgeni na kijana mmoja a few moment later watawapokea wageni wengine wenye siraha za moto... Baada ya hapo sijui nini kitaendelea.
 
Ujumbe huu sijui umfikie nani ila probably Mr chapchap but sure kwamba kama atasafiri hivi karibuni basi asiishie kubadilisha ruti tu bali abadilishe hadi destination, kwasababu washajua kama akisafiri atapita Njia fulani na possible destination itakua somewhere, so wakati wa usiku akipokelewa kama mgeni na kijana mmoja a few moment later watawapokea wageni wengine wenye siraha za moto... Baada ya hapo sijui nini kitaendelea.
Coded message
 
Ujumbe huu sijui umfikie nani ila probably Mr chapchap but sure kwamba kama atasafiri hivi karibuni basi asiishie kubadilisha ruti tu bali abadilishe hadi destination, kwasababu washajua kama akisafiri atapita Njia fulani na possible destination itakua somewhere, so wakati wa usiku akipokelewa kama mgeni na kijana mmoja a few moment later watawapokea wageni wengine wenye siraha za moto... Baada ya hapo sijui nini kitaendelea.
Ooh meeeen
 
Back
Top Bottom