Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Kama utani vile, kelele zikawa nyingiiiiii, tabiri zikawa nyingiiii watu wakidhani kuwa zitawatisha wenye maamuzi ndani ya kampuni

Niliwaambia hapa tusisubiri ndege stand!!

Atakae waokoa wateja wa kampuni ni wateja wenyewe wawe tayari kwa lolote kama wateja ndio Hawa Hawa tulionao, basi jipeni poleeee wapendwa!!

kaeni kwa kutulia kabisa hakuna mtu atawasaidia Wala muujiza wowote, naongea haya leo nikitafakari kijacho!!

Nawatakia alfajiri njema huko mliko

Tukutane December!!
Wanaokufatilia wote nao mazunye tu
 
Isaya 44

24 “Hili ndilo asemalo Bwana,
Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni:

“Mimi ni Bwana,
niliyeumba vitu vyote,
niliyezitanda mbingu peke yangu,
niliyeitandaza nchi mwenyewe,

25 “mimi huzipinga ishara za manabii wa uongo,
na kuwatia upumbavu waaguzi,
niyapinduaye maarifa ya wenye hekima,
na kuyafanya kuwa upuzi,
26 niyathibitishaye maneno ya watumishi wake,
na kutimiza utabiri wa wajumbe wake,

“niambiaye Yerusalemu, ‘Itakaliwa na watu,’
niambiaye miji ya Yuda kuwa, ‘Itajengwa,’
na kuhusu magofu yake, ‘Mimi nitayatengeneza,’
27 niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,
nami nitakausha vijito vyako,’
28 nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,
naye atatimiza yote yanipendezayo;
atauambia Yerusalemu, “Ukajengwe tena,”
na kuhusu Hekalu, “Misingi yake na iwekwe.” ’

Tayana-wog
 
USihofu, niko salama kabisa
Regardless of the interest from both parties, hivi unafikiri kuruhusu hili joto linapoelekea wameona matokeo yaamue? Au wote warudi mezani tusichafue kitambaa Safi tulichokabidhiwa na waasisi? Kuna kila dalili nyasi kuumia kama watu hawataacha siti zao kwa unyenyekevu na kuulizana kulikoni? Badala ya kusubiri kuona matokeo.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake 🙏
 
Back
Top Bottom