baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,540
- 12,212
Sijui kwa nini mama anapenda kukutana na watu wa Comedy kuzidi wazalishaji na wanaotengeza ajira Mfano mdogo wakandarasi private sekta wafanyabiashara wakubwa kukaa nao kujadili mstakabali wa nchi unakaa na wasanii watu Comedy kweli nchi haiwezi kuendelea kwa kukaa na ComedyCcm imelea wajinga that's yule dogo wanamdisi wenyewe ,yule wa comedy, hajui mipaka, shida unamkaribisha ikulu huyo Steve, unategemea nini? Machawa Mungu ayachukue mapema taifa lipone