Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Kama uko online Niulize chochote leo!!
Maswali ya nyongeza
1. Baada ya Mzee wa Kawe kuruka hewani, kuna fununu kuwa kikao cha dharura kilifanyika ndani ya kampuni. Tutegemee nini baada ya kikao hicho?
2. Kuna Documents za wazito zimezagaa zagaa mitandaoni, X imefungiwa, na saivi Insta nayo bila VPN husomi zile files, kuna nn nyuma ya hizi moves?
 
Maswali ya nyongeza
1. Baada ya Mzee wa Kawe kuruka hewani, kuna fununu kuwa kikao cha dharura kilifanyika ndani ya kampuni. Tutegemee nini baada ya kikao hicho?
2. Kuna Documents za wazito zimezagaa zagaa mitandaoni, X imefungiwa, na saivi Insta nayo bila VPN husomi zile files, kuna nn nyuma ya hizi moves?
😄😄 Nope!! Kina choendelea is to know nani amemfeed Taarifa, it means there is a snitch in the white house
 
Back
Top Bottom