Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,548
Yes nikikwambia mfuatilie manaake nimejiridhisha, mi mtt wa The late Tbjoshua (😁 kwenye hili eneo)so sisikilizi Kila mtu ,ht km nilisikiliza km chai najua hapa chai 😂au km wale wakufuata upepo wenzao wamesema nn najua tu ...Sema nini mtu wa Mungu Tayana-wog
Mimi mtu akiwa ni mwenye kutabiri tabiri, kama amewahi kutabiri matukio mawili au matatu nyuma yake na yakatimia hapo naweza kumwamini na kumkubali.
Je huyo Edmund amewahi kutabiri kipi na kipi na kikatimia?
Natanguliza shukurani.
Ila Mungu anao watu aisee Tena Hawana ht majina ila wako vzr sn.
Edmond nimemfuatilia last yr hata haya yaliyotokea na vurugu zote alisema ilikuwa last yr Dec km sikosei.
Ila huyu nimemfahamu recently 👇
View: https://youtu.be/VOSCbWeVf_w?si=wejWWYk7XXc1mPQC