Alie kuuliza kwamba unajua mambo mengi ya nchi hii ni nani? Acha jikweza wanaojua hawezi kuja hapa tamka , huu uzi upo na comment ngapi? Like ngapi? Reply ngapi ,na je umeanza leo ?, Acha ujuaji usiokua na sabababu , wenda unajua robo ya robo tu au nayo isifike, uzi huu sio wa machawa , ni wa watu makini tena walioenda shule ,acha potezea watu mda wao ,achia watu na uzi wao wenye akili .
Mwendazake kafa ,hata robo ya taifa hili kulijua ilikua bado pamoja na kuwa alikwa waziri miaka mingi sembuse wewe ,acheni upuuzi wewe chawa, hujui Dunia,