Roadmap kuhusu kesho ya Tanganyika ipo mezani. Kilichobakia kwa sasa ni takwa la wakati ili kupita katika "blue prints" zilizowekwa tayari kwa ajili ya utekelezaji.
Chawa wanamjaza mwenyekiti Hali ya kujiamini Ili apambane na andiko ambalo tayari lilishaandikwa!!
Hebu cheki no reform no election ilivyotushika pabaya!!yaani tumepanic sana!!huyo lisu tkimweka gerezani EU wanaitisha Bunge la kumjadili LISU na kumpa umaarufu mkubwa kuliko hata mwenyekiti!!Tukimuacha aendelee ndio hivyo atasababisha Chama kishindwe uchaguzi na kitumie mabavu na tukitumia mabavu kijasusi serikali inakua haram kama Ile ya chuma 2020 ambayo ilibidi turuke sarakasi Kwa COVID 19!!
Bahati mbaya sijui waliokaribu na mama wanamshauri Nini hasa wanapokaa pamoja!!
Nakumbuka Mimi nilimshauri kuliko kukaidi uandishi wa katiba Bora angeitisha Binge la katiba na mchakato uchukue muda mrefu Hadi uchaguzi na ukishafika achukue baadhi ya kanuni azitumie kuchaguliwa Tena huku akiahidi kumalizia term lijalo angalau angewachenga kidogo the state lakini alikiuka kukiuka kwake kumemfanya aingie kwenye mtego ambao hawezi chomoa!!!
MTEGO NDIO HUU"TUKIKUBALI REFORMS MAANA YAKE TUKUBALI KUPOTEZA SERIKALI IENDE UPINZANI,TUKIKATAA UCHAGUZI UNAKUA BATILI KIJASUSI NA THE STATE ITAPATA LEGITIMACY YA KUTUSHUGHULIKIA RASMI"
Nanukuu"uchaguzi wa serikali za mitaa usubiri Hadi katiba mpya"yaani uchaguzi wa 2024 ambao tayari umeshafanyika kinyume na matakwa ya "the state"!!
Refer maagizo Yao kwenye Uzi wa"operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"!!
WA KWENDA DEEP WANANIELEWA NAMAANISHA NINI NIKISEMA "KUSHUGHULIKIWA RASMI"COZ WALISHATUONYA KWAMBA HAKUNA UCHAGUZI BILA KATIBA MPYA KUTOKANA NA YALIYOTOKEA 2019,2020!NA JUZI YA 2024 NI YALE YALE YA NYUMA!!
SASA TUNAFANYAJE!!?TUKAZE FUVU TUSHULIKIWE,TUKUBALI REFORMS TUPOTEZE SERIKALI IENDE UPINZANI!!!?
Naandika haya huku naumia sana coz nahisi mambo tusiyoyapenda yatatokea Tena,mambo ambayo yatatuhuzunisha sisi wanaccm wenye akili za kina warioba na Butiku!!
Hivi tukifuata maelekezo tutapungukiwa nini!!?
NAWAZA,NACHAMBUA ,NAFUATILIA MAANDIKO HUMU,NABASHIRI,NACHANGANUA KUTOKANA NA NIONAVYO!KAMA SIO SAWA NIPO TAYARI KUKOSOLEWA!!
MITANO TENA KWA MAMA,NAIMBA KAMA TULIVYOAMRIWA NA CHAMA TUIMBE HUKU TUKIACHA SPACE YA ASILI IAMUE HATMA!!