Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Chawa wanamjaza mwenyekiti Hali ya kujiamini Ili apambane na andiko ambalo tayari lilishaandikwa!!

Hebu cheki no reform no election ilivyotushika pabaya!!yaani tumepanic sana!!huyo lisu tkimweka gerezani EU wanaitisha Bunge la kumjadili LISU na kumpa umaarufu mkubwa kuliko hata mwenyekiti!!Tukimuacha aendelee ndio hivyo atasababisha Chama kishindwe uchaguzi na kitumie mabavu na tukitumia mabavu kijasusi serikali inakua haram kama Ile ya chuma 2020 ambayo ilibidi turuke sarakasi Kwa COVID 19!!

Bahati mbaya sijui waliokaribu na mama wanamshauri Nini hasa wanapokaa pamoja!!

Nakumbuka Mimi nilimshauri kuliko kukaidi uandishi wa katiba Bora angeitisha Binge la katiba na mchakato uchukue muda mrefu Hadi uchaguzi na ukishafika achukue baadhi ya kanuni azitumie kuchaguliwa Tena huku akiahidi kumalizia term lijalo angalau angewachenga kidogo the state lakini alikiuka kukiuka kwake kumemfanya aingie kwenye mtego ambao hawezi chomoa!!!

MTEGO NDIO HUU"TUKIKUBALI REFORMS MAANA YAKE TUKUBALI KUPOTEZA SERIKALI IENDE UPINZANI,TUKIKATAA UCHAGUZI UNAKUA BATILI KIJASUSI NA THE STATE ITAPATA LEGITIMACY YA KUTUSHUGHULIKIA RASMI"

Nanukuu"uchaguzi wa serikali za mitaa usubiri Hadi katiba mpya"yaani uchaguzi wa 2024 ambao tayari umeshafanyika kinyume na matakwa ya "the state"!!

Refer maagizo Yao kwenye Uzi wa"operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"!!

WA KWENDA DEEP WANANIELEWA NAMAANISHA NINI NIKISEMA "KUSHUGHULIKIWA RASMI"COZ WALISHATUONYA KWAMBA HAKUNA UCHAGUZI BILA KATIBA MPYA KUTOKANA NA YALIYOTOKEA 2019,2020!NA JUZI YA 2024 NI YALE YALE YA NYUMA!!

SASA TUNAFANYAJE!!?TUKAZE FUVU TUSHULIKIWE,TUKUBALI REFORMS TUPOTEZE SERIKALI IENDE UPINZANI!!!?

Naandika haya huku naumia sana coz nahisi mambo tusiyoyapenda yatatokea Tena,mambo ambayo yatatuhuzunisha sisi wanaccm wenye akili za kina warioba na Butiku!!

Hivi tukifuata maelekezo tutapungukiwa nini!!?

NAWAZA,NACHAMBUA ,NAFUATILIA MAANDIKO HUMU,NABASHIRI,NACHANGANUA KUTOKANA NA NIONAVYO!KAMA SIO SAWA NIPO TAYARI KUKOSOLEWA!!

MITANO TENA KWA MAMA,NAIMBA KAMA TULIVYOAMRIWA NA CHAMA TUIMBE HUKU TUKIACHA SPACE YA ASILI IAMUE HATMA!!
Jomba una stori za vijiweni sana. Hakuna state wala mamake state. Kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa. Upinzani kushika dola sio leo wala kesho.
 
Sijaandika upinzani utashika au haushiki!nilichoandika ni kuwa mama samiah sio chaguo la the state kushika Tena Bali ni chaguo la chawa wa mama !!!!

Hilo lipo wazi!!
Jomba una stori za vijiweni sana. Hakuna state wala mamake state. Kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa. Upinzani kushika dola sio leo wala kesho.
 
Sijaandika upinzani utashika au haushiki!nilichoandika ni kuwa mama samiah sio chaguo la the state kushika Tena Bali ni chaguo la chawa wa mama !!!!

Hilo lipo wazi!!
Acha kujidanganya ndugu. Mama Samia ndo rais wako hadi 2030 tuombe uzima. Hizo stori zenu za vijiweni ni kupoteza muda.
 
Acha kujidanganya ndugu. Mama Samia ndo rais wako hadi 2030 tuombe uzima. Hizo stori zenu za vijiweni ni kupoteza muda.
Hata Mimi najua hivyo kabisa japo wale jamaa wanasema eti "pale st.peters Bado wapo conservatives ambao wanataka Hali iendelee kubaki hivi hivi kwa kuwalinda wakubwa Kwa katiba iliyopo,watashughulikiwa kimya kimya baada ya muda hawatokuwepo"!!

Wanakosea!!?we unaonaje ni porojo tu kama porojo!!?

Mi najua ilianza jamuhuri ya Tanganyika,ikaja jamuhuri ya muungano wa Tanzania halafu ccm ikaja baadae 1977 na wenyeviti wake wanabadilika Kila muda baada ya miaka 5 au 10,we unaamini mwenyekiti mmoja anaweza ku outsmart majasusi yote ya Tanganyika,Tanzania na walioianzisha ccm!!?
Kama mwanachama lazima nisikilize maoni ya waanzilishi wa CCM kina warioba na Butiku The Mwalim Nyerere foundations bila kukosa na wao wanaamini hatuwezi ingia kwenye uchaguzi bila reforms ambazo sisi hatutaki!!
October Bado ni mbali tukae mezani!!
 
Lengo la desert mission ilikua kumuingiza mtegoni mwenyekiti coz ukimkamata Lisu mtego ukimuacha uraiani aendelee mtego na lazima uta react,Sasa wamesha react na tayari mtego umezidi kuwanasa na hamna namna lazima wafanye uovu zaidi kunusurru kiti kisiende kwa wenyewe wenye mamlaka ziadi yao!

Hadi hapa tulipofika ni karibu na mwisho wa ukamilifu wa mission!!

Jaribu kufuatilia maonyo ya huduma ya kristo ya Jacob Steven Gumbo!utaona kilele Cha desert mission na sio kingine Bali ni kile alicho andika Britannica kiganda"Kukuba Amanda"lazima avae manda proof za kutosha zisije zikapenya!!

Nawaza,Na connect dots,nafanya analysis Wala niandikayo hayana uhalisia Bali speculations TU kutokana na upepo unavyovuma!!
Wanaelewa yajayo ,wanajua kaz imeisha kinachofanyika ni ukamilifu tu
 
Acha kujidanganya ndugu. Mama Samia ndo rais wako hadi 2030 tuombe uzima. Hizo stori zenu za vijiweni ni kupoteza muda.
Ukweli ni kuwa hatakuwa Tena km unavyodhani! Na watu hamtaamini, tutarudi hapa
It's true muhula sio wake ye anamalizia huu kulazimisha kuendelea ndo balaa linapoanzia!

Acha tutulie, tusubiri,July tutarudi hapa
 
Hata Mimi najua hivyo kabisa japo wale jamaa wanasema eti "pale st.peters Bado wapo conservatives ambao wanataka Hali iendelee kubaki hivi hivi kwa kuwalinda wakubwa Kwa katiba iliyopo,watashughulikiwa kimya kimya baada ya muda hawatokuwepo"!!

Wanakosea!!?we unaonaje ni porojo tu kama porojo!!?

Mi najua ilianza jamuhuri ya Tanganyika,ikaja jamuhuri ya muungano wa Tanzania halafu ccm ikaja baadae 1977 na wenyeviti wake wanabadilika Kila muda baada ya miaka 5 au 10,we unaamini mwenyekiti mmoja anaweza ku outsmart majasusi yote ya Tanganyika,Tanzania na walioianzisha ccm!!?
Kama mwanachama lazima nisikilize maoni ya waanzilishi wa CCM kina warioba na Butiku The Mwalim Nyerere foundations bila kukosa na wao wanaamini hatuwezi ingia kwenye uchaguzi bila reforms ambazo sisi hatutaki!!
October Bado ni mbali tukae mezani!!
Watu wanawaza system,sijui nn
Jmn nyakati na majira vimebadirika ,mjue kuzisoma
This time sio bness as usual.

Nje ya mada, sorry,hivi bunge linaisha lini?
 
Lengo la desert mission ilikua kumuingiza mtegoni mwenyekiti coz ukimkamata Lisu mtego ukimuacha uraiani aendelee mtego na lazima uta react,Sasa wamesha react na tayari mtego umezidi kuwanasa na hamna namna lazima wafanye uovu zaidi kunusurru kiti kisiende kwa wenyewe wenye mamlaka ziadi yao!

Hadi hapa tulipofika ni karibu na mwisho wa ukamilifu wa mission!!

Jaribu kufuatilia maonyo ya huduma ya kristo ya Jacob Steven Gumbo!utaona kilele Cha desert mission na sio kingine Bali ni kile alicho andika Britannica kiganda"Kukuba Amanda"lazima avae manda proof za kutosha zisije zikapenya!!

Nawaza,Na connect dots,nafanya analysis Wala niandikayo hayana uhalisia Bali speculations TU kutokana na upepo unavyovuma!!
Km we mfuatiliaji basi fuatilia pia pastor kabugumira,na Edmund mystic
SS ukiwasikikiA hawa utapata picha halisi
.ht huyu uliyemtaja nimemfuatilia pia .

Yericko ishaanguka,hakuna issue Tena ni utimilifu tu ndo umebaki.

Tukiwaambia hawatoboi hawaelewi ila ndivyo itakavyokua
 
Hata Mimi najua hivyo kabisa japo wale jamaa wanasema eti "pale st.peters Bado wapo conservatives ambao wanataka Hali iendelee kubaki hivi hivi kwa kuwalinda wakubwa Kwa katiba iliyopo,watashughulikiwa kimya kimya baada ya muda hawatokuwepo"!!

Wanakosea!!?we unaonaje ni porojo tu kama porojo!!?

Mi najua ilianza jamuhuri ya Tanganyika,ikaja jamuhuri ya muungano wa Tanzania halafu ccm ikaja baadae 1977 na wenyeviti wake wanabadilika Kila muda baada ya miaka 5 au 10,we unaamini mwenyekiti mmoja anaweza ku outsmart majasusi yote ya Tanganyika,Tanzania na walioianzisha ccm!!?
Kama mwanachama lazima nisikilize maoni ya waanzilishi wa CCM kina warioba na Butiku The Mwalim Nyerere foundations bila kukosa na wao wanaamini hatuwezi ingia kwenye uchaguzi bila reforms ambazo sisi hatutaki!!
October Bado ni mbali tukae mezani!!
Endelea kujifariji na stori za vijiweni.
 
Mkuu,Tulipewa muda Hadi 2022 mchankato wa katiba mpya uwe umeanza,akaambiwa ateue wabunge was kimkakati Ili kukamilisha mpangokazi,Sasa basi tukapuuza Hadi mwezi was Saba 2023 wale jamaa wakachoka kusubiri wakaja na uzi mwingine"usaliti wa jemedari wa marekani"wakasisitiza plan ya mwanzo inarudi na ndio hio desert mission yaani mission nchi kavu ya huku Tanganyika inayoendelea nadhani ilianza na uchaguzi wa mwenyekiti wa chadema halfu No reform no election ambayo imetuharibia zaidi hadi nje ya nchi !!

Sasa kama tukikubali reforms inamaana tukubali kuachia kiti coz report ya wale jamaa inaonyesha Bado watu hawana Imani na mwenyekiti!!na tukikataa ndio hayo yaendelee!!

Nawaza,nafikiria,nachambua maandishi labda ni hivyo Sina uhakika wa mambo hayo!!
Taifa kwanza mambo ya kiti kuachia pitia chama chochote badae, kiti kipo kwa mamlaka ya wananchi, na ndo maana reforms muhimu ili wananchi rudishiwa mamlaka hayo ambayo yamepokwa kutoka kwao, wanachagua embe wanawekewa jiwe hii haikubaliki.

Kile kiti sio uridhi wa mtu yoyote au chama chochote, yoyote anastahili kukaa ilihali wananchi wamemkabidhi mamlaka ayo kupitia kura zao.

So kwa option ya msingi sana kuliko vyote ni reforms ili kura ya mwananchi iweze heshimika , nani akae au asikae wananchi wanatakiwa kuamua period.

Mengine badae, kama ni kuokota embe chini ya mti sawa ili hali ulichaguliwa kwa haki.
 
Acha kujidanganya ndugu. Mama Samia ndo rais wako hadi 2030 tuombe uzima. Hizo stori zenu za vijiweni ni kupoteza muda.
Yaan unalazimisha sasa.

Hiyo ndio shida yenu nyie watu. Weka hoja kwa nini awe rais hadi 2025 wakati kazi zake kila mtanzania anaziona. Sio kulazimisha. Hiyo ndio huwapelekea mhalalishe haramu alizosema Nape. Njia zenu zile.

Weka hoja kwa nini ashinde na sio kulazimisha.
 
Yaan unalazimisha sasa.

Hiyo ndio shida yenu nyie watu. Weka hoja kwa nini awe rais hadi 2025 wakati kazi zake kila mtanzania anaziona. Sio kulazimisha. Hiyo ndio huwapelekea mhalalishe haramu alizosema Nape. Njia zenu zile.

Weka hoja kwa nini ashinde na sio kulazimisha.
Mnalazimisha ndoto zenu za mchana ila hazitafanikiwa. Hakuna haja ya kuumiza kichwa wakati inajulikana Mama Samia ndo Rais hadi 2030.
 
Mnalazimisha ndoto zenu za mchana ila hazitafanikiwa. Hakuna haja ya kuumiza kichwa wakati inajulikana Mama Samia ndo Rais hadi 2030.
Sisi hatulazimishi!tunasoma,tunachambua na ku predict possiblities tunazoona!!

Hayati chuma alionywa na hao hao i the state!alipoondoka wakati anakabidhiwa huyu wale jamaa walimpa maagizo ya Nini kifanyike,mwishoni kabisa hao jamaa wakaandika"TULIMUONYA HAKUSIKIA SASA HAYUPO,NIMEPEWA UJUMBE NIMEUFIKISHA" kasome Uzi wa "Operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"

Na kwenye maagizo aliambiwa live "uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 usubiri Hadi katiba mpya"na wakamwagiza "mwakani kuwe na mwendelezo was uandishi wa katiba mpya sio lazima uteue wabunge wote Bali wale wanaofaa"

Baadae wakaonya "kama Hadi mwakani mtajwa hatokua ameanza mchakato wa katiba mpya itakua too late kwake"

Na Sasa tupo kwenye NO REFORM NO ELECTION" naona baada ya wale jamaa kuona takwa la katiba halipo na uchaguzi unataka kufanyika bila katiba mpya!!!

Njoo na wewe na uchambuzi wako kwanini unasema TU "mitano tena Kwa mama"hasta Mimi naimba hivyo hivyo lakini huku Nina angalizo coz "hayati chuma na ujasiri wake wote hajawahi kumuumiza padri au she kwenye utawala wake"sass sijajua Hawa wahuni wamewaza nini kumpiga katibu wa TEC hiyo ni BIG CALL aiseh labda kama we huoni!!

Nawaza TU,nachambua nafikiria nasoma tu!!
 
Acha kujidanganya ndugu. Mama Samia ndo rais wako hadi 2030 tuombe uzima. Hizo stori zenu za vijiweni ni kupoteza muda.
Tunasema au Mungu anasema SSH hata akiwa pale miaka mia sawa tu, cha msingi wananchi wamemuweka kwa haki na usawa tokana na kura za wajiri wake ambao ni wananchi.

Hii sio shida kabisa ,kama umewekwa na wananchi wa JMT kwa kura halali na kwa uchaguzi wa haki ,kwa hili mtu akiinua mdomo ,mie wa kwanza kuvua nguo kabisa .

Reforms zifanyike anae shinda atangazwe maana anaweza kesho yake akarudi tena kupitia chama chake.note tz hatuna sheria ya Mgombea binafsi)

USA tumeona , Trump alishindwa uchaguzi akiwa ikulu, Biden pia ameshindwa na chama chake akiwa Ikulu , wanajipanga tena , wenda uchaguzi ujao chama cha Biden kikarudi madarakani na hii ndo inatakiwa, ila Taifa lipo pamoja.


Leo kwetu unachagua mkate ila unaletwa nusu mkate ,tutaendelea lini?

Mifumo ya nchi lazima andaa watu mbalimbali kutoka vyama tofauti maana hii ni nchi ya vyama vyingi , sio kalia kwamba Rais lazima atoke chama
tawala chochote kile .
( elewa maana ya mfumo wa nchi, kitu kikubwa sana ichi ,mie binfsi jijui vizuri , wazee kama mzee Pinda, Warioba n.k wenda wanaweza hili elezea)

Na hii ndo imekua kaburi letu kuu kama nchi ,that's machawa kila eneo, that's wengine kwenye mahovu hujificha kwenye vyama flani .

Reform tz ni muhim kwa sasa kuliko wakati wowote ule , kwa sasa kipo kizazi cha kuhoji , kutafakari , na wasipo pata majibu lazima wakukalie kwenye koo, so kwa hali hii utateka wangapi?

Thanks

Mazoea sasa yanaangamiza nchi. We have to change period
 
Back
Top Bottom