Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,956
- 3,804
Mia miaKuback up pakua Google drive kutoka play store kisha ndani umo utaona BACK UP
Mia miaKuback up pakua Google drive kutoka play store kisha ndani umo utaona BACK UP
OkMia mia
Endelea kuulizaUkiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.
Mifano mingine ni KuRoot simu za version 6.0,7.0 nk. Kuzuia matangazo (ads), Udukuzi (hacking), Kupata sms za mpenz (spy).
Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869
Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Una fanya kitu inaitwa flashing kwa kutumia pc kma huna utaalmu waone mafund simuSimu yangu smartphone ya Vodacom inatumia Sim card ya Voda tu,nifanyeje nitumie sim card ya mtandao mwingine?
Sawsawa, pakua camera kutoka playstoreTecno H6 camera inagoma inaandika unfortunately stopped
Hili sio tatizoIPI tofauti ya kimsingi Kati ya software IOS na android
Nina miakaPsite ushaingia humu tena
ndugu hakuna kitu kinacho weza kuipata simu yako zaidi ya IMEI.kuna madeveloper na programmer wengi tu wakatoa hizo software.Ukiingia tu andika jina LA simu yak, upate namna ya kuizuia simu hyo hata ukilala ndani nayo ukaicha nje.
Kumbuka hapa tuna lock simu ambayo unayo mkononi tu kwa ulinzi mkali wa anti theft.
Kama ulushaibiwa simu,unataka kuipata, pili unataka locations, na mambo mengine ambayo yatakugharimu utanipigi a 0753093869.
Huduma ninazotowa ni 100% Una prove na kureply papo hapo
Kam kawaidaOngera naona unafanya yako
Tatizo kubwa ndo hili, developer gani unayeweza kudi s connect Google?ndugu hakuna kitu kinacho weza kuipata simu yako zaidi ya IMEI.kuna madeveloper na programmer wengi tu wakatoa hizo software.
Sio kila mtu ni programa, sio kila programa anaweza kaz fulanindugu hakuna kitu kinacho weza kuipata simu yako zaidi ya IMEI.kuna madeveloper na programmer wengi tu wakatoa hizo software.
NINA 6 YEAR YA MOBILE.sijaona software hizo unazo zisema hapa labda uwadanganye watu.zaidi ni IMEITatizo kubwa ndo hili, developer gani unayeweza kudi s connect Google?
Hivi umeelewa kwanza darasa hili linahusiana na nini?NINA 6 YEAR YA MOBILE.sijaona software hizo unazo zisema hapa labda uwadanganye watu.zaidi ni IMEI
Darasa La Anti virus; lock simu yako hata , kuibiwaunaipata mapema, ingia humu.Hivi umeelewa kwanza darasa hili linahusiana na nini?