Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Aisee simu yangu kila nkiconnect kwa PC inaonesha alama nyekundu pale kwa discs, sasa hata nkifuta vitu haipungui, inaonesha OMB of 4GB, nliformat simu, ikakaa siku 3 imeanza tena, kwahio siez eka chochote kwenye simu toka kwa PC
Sawsawa nipo hpa nitakupa darasa kwa video na picha kirahisi niinbox
 
Simu ya Tecno c5 inajioperate yenyewe. Mfano ukionda pattern, uenyewe inaanza ku call au kufunhua apps ambazo hata sijazikomand. Pia mda mwingime inakuwa ngum kupiga. Itabaki inasema call exceeded. Call doesn't sent
 
Simu ya Tecno c5 inajioperate yenyewe. Mfano ukionda pattern, uenyewe inaanza ku call au kufunhua apps ambazo hata sijazikomand. Pia mda mwingime inakuwa ngum kupiga. Itabaki inasema call exceeded. Call doesn't sent
Restore
 
tafuta wireless kutoka ktk chombo kingine connect na simu yako nenda seting about kwa juu utaona neno update click.ila lazima uwe na bandle la kutosha
Kabla sijaconnect hilo neno "update" halipo, maana nikiangalia hapa sahivi sioni?
 
Simu ya Tecno c5 inajioperate yenyewe. Mfano ukionda pattern, uenyewe inaanza ku call au kufunhua apps ambazo hata sijazikomand. Pia mda mwingime inakuwa ngum kupiga. Itabaki inasema call exceeded. Call doesn't sent
wipe ikikataa download file i flash full.au tafuta fundi alie karibu yako.0754604567
 
Kabla sijaconnect hilo neno "update" halipo, maana nikiangalia hapa sahivi sioni?
litakosaje mkuu.check hii picture
8882dd96bfb97d60f5cbfde2a6a326ae.jpg
 
Back
Top Bottom