Mchumba wako.
.mawee....Kwa wale wa KACHASO inapatikana mtaa wa tatu na wale wa NDUMU inapatikana kwa ALI MANJUNJU kama mita 100 kutoka LEO TUPO HAPA PUB ........ LOL
Usijali,
ngoja niweke Update.
..dah..nina kihoma naomba mungu mpk siku hiyo niwe mzima wa afya nijumuike na wenzangu...Mungu Nisaidie..
haiwezekani nakosaa hii shughuli TMA wanasema kutakuwa na mvua kubwa jmosi naomba tuahirishe mpaka jmosi ijayoo
plsssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Wewe ukija nitawachezea kiduku wewe huishi sababu yani unavijisababu sababu
..niko best...wewe una mishe mishe mingi...Sikupati ujue...pole best ndo maana nimekukumbuka lo
..yaani unatualika..halafu unaogopa kufika eneo la tukio..?@Madame BSi afadhali yako wewe Paloma, mie ndo naogopa hata kusogelea eneo la tukio maana nitashawishika kunywwa bureeee....
..yaani unatualika..halafu unaogopa kufika eneo la tukio..?@Madame B