Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Ongea na Dada zako.Acheni maisha hayo sasa mrudieni Mungu.
Ongea na Dada zako.Acheni maisha hayo sasa mrudieni Mungu.
Mhm huyo tigo yake haawakuiacha salama🤣🤣🤣🤣Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya mwanamke aitwaye Barke Rashid, aliyeuawa Januari Mosi, 2022, akiwa guest maeneo ya Tabata, ambapo mmoja amekiri kutekeleza unyama huo baada ya kuahidiwa shilingi milioni 1.7.
Kuhusu mkasa wa mauaji, soma Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe
View attachment 2094888
Barke Rashidi enzi za uhai wake
Tena kwa 1.7mUnaanzaje kumuua bin adam mwenzako...
Humani life is placed at very high value , binadamu ni kama mgodi wa madini hujui kuna nini chini , same applies , leo mtu yupo broke kesho anakuwa top leaderAngalau bei gani hivi?
Kwani nani katokewa figo?Kutoa mtu figo inahitaji utaalam ikiwezekana zaidi ya mmoja wameruhusu vipi chumba zaidi ya watu 2 au ile ingia toka hawakuhisi kitu
Hio guest nayo ichunguzwe
Mmechoma vibanda vya machinga sasa hiv mnalia..hahhahaa....ujambaZ unarud kwa kasi sana..kitaeleweka tu..ukifungwa mlango huu ule mwingne u afunguliwaUhai wa binadamu kwa 1.7m dunia imekwisha.
Kwani nani katokewa figo?
Waangalie ndugu zake ambao ndo walienda spitali kuukagua mwili wake.Huyo binti marehemu...
Inaonesha aliuawa ndani ya guest house, then wakachugua figo
Wewe habari za yeye kutolewa figo umezipata/ umezitoa wapi?Huyo binti marehemu...
Inaonesha aliuawa ndani ya guest house, then wakachugua figo
Hali ngumu ya maisha isiwe sababu ya uhalifu !KMmechoma vibanda vya machinga sasa hiv mnalia..hahhahaa....ujambaZ unarud kwa kasi sana..kitaeleweka tu..ukifungwa mlango huu ule mwingne u afunguliwa
Kuna kijana kibaha ana kakiwanda kake ka kuchakata mafuta..askar wakaenda wakafunga na kumweka ndan..unategemea huyk kijana akil yake inawaza nn...yaan had wazir aliona aibu akawambia wamwache na asaidiwe na sido....hali hii wanaitaka wenyew
Sent using Jamii Forums mobile app
Waangalie ndugu zake ambao ndo walienda spitali kuukagua mwili wake.
Watazame kuanzia dakika ya 10 mpaka ya 11.
Ukimaliza kuangalia, naomba uniambie wamesemaje kuhusu figo.