mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,898
- 106,183
Na wanawake walivyokuwa na tamaa siku hziDunia imekwisha
Kwa style hii ya kungoa viungo vya binadam
Wataumizwa sana
Ova
Na wanawake walivyokuwa na tamaa siku hziDunia imekwisha
Kwani huu mtandao wa viungo vya binadamLakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Kule Nigeria, DRC Congo na hasa Benin kuna sehemu wanauza viungo vyote vya binadamu kwa matumizi ya ushirikina.Walienda kuifanyia nini hiyo Figo? Hili nadhani ndo swali muhimu
🥺🥺🥺🥺💔💔💔Unaanzaje kumuua bin adam mwenzako...
🥺🥺🥺Kule Nigeria, DRC Congo na hasa Benin kuna sehemu wanauza viungo vyote vya binadamu kwa matumizi ya ushirikina.
Unalazimishwa kukiri na vidhibiti unaonesha, tatizo nini hapo?...aliyelazimishwa kukiri
Acheni maisha hayo sasa mrudieni Mungu.This is very sad.
Kama umeshawahi kuwa part of night life ya Dar utajua kabisa kwamba drastic measures are needed to save our girls.
Some of us are living for the night life. This is the life that make us slay for the gram as we literally trade our kidneys for cheap stunts.
Wanawake wengi sana wataumizwa katika hili. Na Mpaka Nchi ije kushtuka basi many will have lost their lives.
Bado wanaoenda nijeria na uturukiThis is very sad.
Kama umeshawahi kuwa part of night life ya Dar utajua kabisa kwamba drastic measures are needed to save our girls.
Some of us are living for the night life. This is the life that make us slay for the gram as we literally trade our kidneys for cheap stunts.
Wanawake wengi sana wataumizwa katika hili. Na Mpaka Nchi ije kushtuka basi many will have lost their lives.
Boda boda wanauliwa na kutoblolewa macho kwa pikipiki ya laki kadhaa1.7M ? Aisee
Dunia haiishi ila sisi tunaisha!Dunia imekwisha
Middle east hajui nini maana halisi ya organizing crimes!!Kwani huu mtandao wa viungo vya binadam
Unafikiri hawana wataalam
Ova