kwa nini umechangia hoja inayokupotezea muda?Kumbe we ni taahira, kwahiyo na daladala zinazoandikwa Tabata Segerea (T/Segerea) nazo hazipo? Acha kupotezea watu muda.
you are a natural born dunderhead
hakuna daladala iliyoandikwa Tabata Segerea
na hakuna daladala inayokwenda Tabata Segerea
na hata ingeandikwa, kumfuatisha karani wa erstwhile SUMATRA aliyelipua kazi ni wehu
wamechemka wanasheria wanaoingia mikataba ya nchi itakuwa karani wa erstwhile SUMATRA?
ni mfanyakazi gani wa erstwhile SUMATRA au taasisi yeyote ya nchi hii atajali kuandika memo halmashauri ya jiji kuomba majina rasmi ya vitongoji vya mji ? Don't be a drooling dopehead