Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Acha longolongo weye, njoo mjini huku tule bata! Maisha mafupi haya!
huyo bata ackose kimezeo(mbege+nyagi)...kaka umeshawahi kumix hiyo ki2, chaaa ote kabisa, haisemekii kwa utamu....unaniudhi 2 cku hizi unaitelekeza mila, cjui miller/ndovu malt...unaniudhi ujue....mara yako ya mwisho kunywa mbege ni lini?