Dar Vs Arusha

ukitaka kuishi nenda arusha,dar ni mji wa biashara toka enzi za ukoloni.
 
Arusha sasa hivi kumepauka, halafu hela ngumu labda uwe na ajira ya kueleweka, nimezaliwa Arusha nimekua na kusoma huko ndo kwetu lakini nikienda naona siyo kama zamani pameharibika, Arusha zamani bwana

zamani zipi unazoziongelea...
 
mleta thread ungepambanisha Arusha na Mwanza,kwa aliyefika kote na kuzunguka vizuri kuna fanana kasoro now Mwanza wana roads za kisasa.
 
mleta thread ungepambanisha Arusha na Mwanza,kwa aliyefika kote na kuzunguka vizuri kuna fanana kasoro now Mwanza wana roads za kisasa.

Mimi nimefika kote Arusha na Mwanza.

Kwa upande wa barabara Mwanza wana barabara nzuri zimejengwa na Waitaly kampuni ya Astard.

Hata kwa majengo Mwanza wana majengo mazuri..Uzuri wa Arusha kuna hali ya hewa nzuri na watu wao pale mjini wanapenda kuvaa vizuri
 
Nashukuru wachangiaji wote lakini cjui nina kichwa nimeelewa kiasi 2 halafu,arusha nadhani itakuwa kutokana na soko la afrika mashariki je dar itakuwaje baada ya miaka kumi?na eti kwa nini kuna wazungu wengi wanaishi arusha na wanamabiashara ni hali ya hewa 2 au kuna zaidi?
 
Bila shaka uwepo wa wazungu wengi Arusha kwa mawazo yangu: Ni kama "SHAMBA LA BIBI" nawe tia kambi hapo na bila shaka utawaona siyo wadhungu tu bali makabila mbalimbali.
 
Mdogo wangu pazuri kwa kuishi ni arusha asidanganye mtu, maisha hata sio expensiv kama filimbi za watu zinavyopigwa
 
Bila shaka uwepo wa wazungu wengi Arusha kwa mawazo yangu: Ni kama "SHAMBA LA BIBI" nawe tia kambi hapo na bila shaka utawaona siyo wadhungu tu bali makabila mbalimbali.

sijaelewa shamba la bibi ndo likoje?
 
kumbe hamko arusha mimi nimezaliwa arusha na ninaishi arusha tena ungalimi arusha nipakali kinyama kuna mazingira masafi sio kama huko Dar mbagala majalala kila kona.
 
Back
Top Bottom