Dar Vs Arusha

Dar Vs Arusha

Kama vile kulinganisha:

maji ya bahari na maji baridi
Bata na Kuku
Nyoka na Mjusi
Simba na Abajalo
Yanga na Barcelona

Ha! Ha! Ha! Ujue Asprin, Dar ni gharama sana na watu wana pesa.

Ofisi au duka Dar mitaa ya posta kodi yake Sh2 milioni mpaka 1.5 milioni kwa mwezi.

Kariako duka la mbele kodi Sh1.5 kwa mwezi.
Duka la ndani laki 7 kwa mwezi.

Chumba kimoja uswahilini kama Magoneni mapipa laki 1 kwa mwezi ujafika Mwenge, Upanga, Mbezi beach, na maeneo mengine
 
Hivi unajua gharama za maisha ya Dar au unaletwa Uchadema!

Labda unaiongelea Dar ya Kimara Temboni na Bonywaka.

Unajua bei ya kupanga Ofisi, au Nyumba za kuishi dar?
Mpaka huku chama kubwa inaingia!
 
Sure!

Au
Arusha Vs Moshi
Mbeya Vs Arusha
Moro Vs Tanga

Dar haina wa kulinganisha naye.......... Ni full maujanja na matatizo........ Anayeuza cheni anapewa hela bandia wakati naye kauza cheni bandia.
Yaeh man!...Dar ni kila kitu na ndio maana hata hao viongozi wenu na mafisadi wote wanaishi dar_na ndio sehemu/jiji linaloongaza kwa hali ya hewa mbaya,uchafu,dhiki,kero za folen,maji,....i.e tajiri wa kwanza yuko dar na maskini wa mwisho yuko dar.
Arusha ni jiji zuri kwa almost kila kitu,...ni mishe mishe zako tu,.......na kamwe hauwezi kufannanisha na mby,moshi,tanga...labda mwanza kidogo
 
Arusha banaaaaaaa kila kitu ................
 
Ha! Ha! Ha! Ujue Asprin, Dar ni gharama sana na watu wana pesa.

Ofisi au duka Dar mitaa ya posta kodi yake Sh2 milioni mpaka 1.5 milioni kwa mwezi.

Kariako duka la mbele kodi Sh1.5 kwa mwezi.
Duka la ndani laki 7 kwa mwezi.

Chumba kimoja uswahilini kama Magoneni mapipa laki 1 kwa mwezi ujafika Mwenge, Upanga, Mbezi beach, na maeneo mengine

Yaeh man!...Dar ni kila kitu na ndio maana hata hao viongozi wenu na mafisadi wote wanaishi dar_na ndio sehemu/jiji linaloongaza kwa hali ya hewa mbaya,uchafu,dhiki,kero za folen,maji,....i.e tajiri wa kwanza yuko dar na maskini wa mwisho yuko dar.
Arusha ni jiji zuri kwa almost kila kitu,...ni mishe mishe zako tu,.......na kamwe hauwezi kufannanisha na mby,moshi,tanga...labda mwanza kidogo
Ndo hapo sasa watu wajiulize......

Asilimia kubwa ya wabunge wanaishi Dar...
Wakuu wa mikoa zaidi ya robo mwaka wako Dar,
Serikali kila siku inapiga kelele za kuhamia Dom, lakini wameng'angania Dar,
Makao makuu ya Benki Kuu yapo Dar
TBL... headquarters Dar
SBL... Dar
Konyagi.....Dar
Mabalozi....Dar
Foleni.........Dar
Uchafu.......Dar
Utapeli.........Dar

yaani Dar ni vurugu mechi......... na ili uishi Dar bongo yako lazima ichanganye vinginevyo watakucheka watu!
 
Ndo hapo sasa watu wajiulize......

Asilimia kubwa ya wabunge wanaishi Dar...
Wakuu wa mikoa zaidi ya robo mwaka wako Dar,
Serikali kila siku inapiga kelele za kuhamia Dom, lakini wameng'angania Dar,
Makao makuu ya Benki Kuu yapo Dar
TBL... headquarters Dar
SBL... Dar
Konyagi.....Dar
Mabalozi....Dar
Foleni.........Dar
Uchafu.......Dar
Utapeli.........Dar

yaani Dar ni vurugu mechi......... na ili uishi Dar bongo yako lazima ichanganye vinginevyo watakucheka watu!

Ha! Ha! Ha! Ha! Yani kulinganisha Dar na Arusha ni sawa sawa kulinganisha Mlima kilimanjaro na Mlima Tegeta...lol..
 
arusha ipi...
Matejoo au 'ngalimitedi'
Mbauda au ngusero
Njiro au kijenge
Ngarenaro au kambi ya fisi
Kwa mromboo au kerai
Sakina au engaraemotonyi.....
 
Ndo hapo sasa watu wajiulize......

Asilimia kubwa ya wabunge wanaishi Dar...
Wakuu wa mikoa zaidi ya robo mwaka wako Dar,
Serikali kila siku inapiga kelele za kuhamia Dom, lakini wameng'angania Dar,
Makao makuu ya Benki Kuu yapo Dar
TBL... headquarters Dar
SBL... Dar
Konyagi.....Dar
Mabalozi....Dar
Foleni.........Dar
Uchafu.......Dar
Utapeli.........Dar

yaani Dar ni vurugu mechi......... na ili uishi Dar bongo yako lazima ichanganye vinginevyo watakucheka watu!
Umesahau..Na USHOGA dar....
 
Sure!

Au
Arusha Vs Moshi
Mbeya Vs Arusha
Moro Vs Tanga

Dar haina wa kulinganisha naye.......... Ni full maujanja na matatizo........ Anayeuza cheni anapewa hela bandia wakati naye kauza cheni bandia
.

hapo tu ndio watu wa dar mnaponiachaga hoi...wengine tunatafuta maisha na sio maujanja, mnajifanyaga wajuaji/wajanja kupita maelezo, yaani mnajionionaga na hilo jiji lenu kwamba ndio mmeyakamatia maisha....kuna mmoja nilimtimua pale mkulima juzi kati kwa majidai hivi hivi, kwamba katokea dar na blah blah kibao, upuuzi mtupu! kama mie ntaishi mikoa yote tz kasoro dar.....
 
Wadau dar inafananishwa na big cities in africa like...

DAR VS NAIROBI, KAMPALA, HARARE, LUSAKA ETC

Arusha pa kwenda kutalii, but about real life experience in big cities Dar is a place to live,,

ARUSHA levo yake ni ARUSHA VS MOSHI, NACHINGWEA, TANDAHIMBA,SINGIDA ETC,, thats why kila HEAD OFFICE IPO DAR hadi ya UTALII NA MALI ASILI wewe ushangai?

Kutoka dar kwenda arusha unakuwa umerudi nyuma, unatakiwa ukitoka kuishi dar kinachofata ni New york,London, Paris etc
 
Kama ungetakiwa kuchagua leo ungeishi wapi kati ya hizi sehemu mbili,na je ni kweli maisha arusha ni ghali kuliko dar,whats the future of arusha vs future of dar?

Dar kwa siku unaweza ukaishi kwa buku 2
Kitumbua 150, chai 100
Mchana ugali/ wali nyama na mboga za majani sahani ni 700 mpaka 800
Jioni wali/ugali nyama na mboga za majani sahani 700 mpaka 400
 
hapo tu ndio watu wa dar mnaponiachaga hoi...wengine tunatafuta maisha na sio maujanja, mnajifanyaga wajuaji/wajanja kupita maelezo, yaani mnajionionaga na hilo jiji lenu kwamba ndio mmeyakamatia maisha....kuna mmoja nilimtimua pale mkulima juzi kati kwa majidai hivi hivi, kwamba katokea dar na blah blah kibao, upuuzi mtupu! kama mie ntaishi mikoa yote tz kasoro dar.....

Mkuu sasa huo ni ubaguzi umemtimua mtu kazi kutoka na mkoa wake?
 
Ndo hapo sasa watu wajiulize......

Asilimia kubwa ya wabunge wanaishi Dar...
Wakuu wa mikoa zaidi ya robo mwaka wako Dar,
Serikali kila siku inapiga kelele za kuhamia Dom, lakini wameng'angania Dar,
Makao makuu ya Benki Kuu yapo Dar
TBL... headquarters Dar
SBL... Dar

Konyagi.....Dar
Mabalozi....Dar
Foleni.........Dar
Uchafu.......Dar
Utapeli.........Dar

yaani Dar ni vurugu mechi......... na ili uishi Dar bongo yako lazima ichanganye vinginevyo watakucheka watu!

pweehh...Asprin umeamkia wapi leo, ucniambia ndicho mnacho/unachojivunia......mtoa thread maisha ni kupanga, na kupanga ni kuchagua, popote unapoona patakuletea maendeleo yako ishi!
 
Dar kwa siku unaweza ukaishi kwa buku 2
Kitumbua 150, chai 100
Mchana ugali/ wali nyama na mboga za majani sahani ni 700 mpaka 800
Jioni wali/ugali nyama na mboga za majani sahani 700 mpaka 400

Mkuu, sijakupata hapa!
 
Mkuu sasa huo ni ubaguzi umemtimua mtu kazi kutoka na mkoa wake?

ndugu! hapana sio ubaguzi kabisa, hapo nimeelezea kwa kifupi 2 kulikuwa na sababu ya mie kumtimua, wengi wenu mnajifanya much knw sana.... na sio hapo tu, juzi juzi tena nipo mall nilimtimua mwingine.....mmezidi sana, na hiyo hulka yenu kwamba mkitokea dar bac ndio kila kitu ndio inayoboa zaidi....utashangaa ukikutana na mtu wa mikoa mingine huku mnaenda sawa kabisa, nimeshakutana na wakaka/wadada wanaotokea mbeya/mwanza/kili etc, wapo kawaida sana na ni watu unaweza kubadilishana nao mawazo bila shida, ngoja awe wa dar...pweehh
 
Wadau dar inafananishwa na big cities in africa like...

DAR VS NAIROBI, KAMPALA, HARARE, LUSAKA ETC

Arusha pa kwenda kutalii, but about real life experience in big cities Dar is a place to live,,

ARUSHA levo yake ni ARUSHA VS MOSHI, NACHINGWEA, TANDAHIMBA,SINGIDA ETC,, thats why kila HEAD OFFICE IPO DAR hadi ya UTALII NA MALI ASILI wewe ushangai?

Kutoka dar kwenda arusha unakuwa umerudi nyuma, unatakiwa ukitoka kuishi dar kinachofata ni New york,London, Paris etc

gosh...Lord have mercy!...napenda kuamini kwamba wengine humu bado wadogo/not matured, hawajayaanza maisha bado, kwa comment kama hii? aisee!..
 
ndugu! hapana sio ubaguzi kabisa, hapo nimeelezea kwa kifupi 2 kulikuwa na sababu ya mie kumtimua, wengi wenu mnajifanya much knw sana.... na sio hapo tu, juzi juzi tena nipo mall nilimtimua mwingine.....mmezidi sana, na hiyo hulka yenu kwamba mkitokea dar bac ndio kila kitu ndio inayoboa zaidi....utashangaa ukikutana na mtu wa mikoa mingine huku mnaenda sawa kabisa, nimeshakutana na wakaka/wadada wanaotokea mbeya/mwanza/kili etc, wapo kawaida sana na ni watu unaweza kubadilishana nao mawazo bila shida, ngoja awe wa dar...pweehh

Mkuu kwani watu wa mikoa mingine ndio hawajifanyi wajuaji? Hizo ni tabia za mtu tu hukuna uhusiano wowote kuwa watu wengi kutoka Dar wanajidai wajuaji sana.

Mbona humu Jamvini mimi naona watu wengi wa Arusha na Kilimanjaro wao wanajiona bora kuzidi wengine, sijui ilo unalisemaje mkuu?
 
Mkuu kwani watu wa mikoa mingine ndio hawajifanyi wajuaji? Hizo ni tabia za mtu tu hukuna uhusiano wowote kuwa watu wengi kutoka Dar wanajidai wajuaji sana.

Mbona humu Jamvini mimi naona watu wengi wa Arusha na Kilimanjaro wao wanajiona bora kuzidi wengine, sijui ilo unalisemaje mkuu?

kuna ujuaji wa tabia za mtu ambao binadamu wengi tunao, na kuna huo ujuaji wa jiji lenu, wengi wenu mnajifanya wajuaji kupitiliza, kila kitu mnajua/wajuaji kisa katokea dar kwenye kila kitu, sawa ckatai dar kweli ni jiji haswa ktk majj yetu yote sasa cjui ndiko kunakowafanya na wengi wenu mjione kwamba wajuaji/mnajua sana kuliko wanaoishi mikoani? ki ujumla mnamajidai/mnataka mtambulike mahali kwamba mmetokea dar, nimewaona wengi tu wanavicfa hivyo, imagine kama eg ya Asprin hapo juu, mpo kimaisha au kwamba wabunge/bot etc vipo jiji 1?
 
Back
Top Bottom