Dar Vs Arusha

what are u talking banah??? Atown ni best.. geneva ya AFRICA tafuta pesa dar nenda kaishi Atown .
 
hapo tu ndio watu wa dar mnaponiachaga hoi...wengine tunatafuta maisha na sio maujanja, mnajifanyaga wajuaji/wajanja kupita maelezo, yaani mnajionionaga na hilo jiji lenu kwamba ndio mmeyakamatia maisha....kuna mmoja nilimtimua pale mkulima juzi kati kwa majidai hivi hivi, kwamba katokea dar na blah blah kibao, upuuzi mtupu! kama mie ntaishi mikoa yote tz kasoro dar.....
Pole sana dada.........nami nikija ntakuja kukutembelea........ Stuka! Unaweza kuta ye alikuwa anaongea kawaida we ukahisi anajidai.......... si unajua tena maujanja?..........Naweza kuomba lifti kwenye bajaji yako wakati PRADO nimepaki nyumbani FULL tank......... ni ujanja tu si majivuno jamani....
 
Kama vile kulinganisha:

maji ya bahari na maji baridi
Bata na Kuku
Nyoka na Mjusi
Simba na Abajalo
Yanga na Barcelona

kwa nini huwezi kulinganisha?na je umesoma kwa nn mada ipo coz hizi sehemu mbili ndio zinamtatiza mtoa mada,
 
Wadau dar inafananishwa na big cities in africa like...

DAR VS NAIROBI, KAMPALA, HARARE, LUSAKA ETC

Arusha pa kwenda kutalii, but about real life experience in big cities Dar is a place to live,,

ARUSHA levo yake ni ARUSHA VS MOSHI, NACHINGWEA, TANDAHIMBA,SINGIDA ETC,, thats why kila HEAD OFFICE IPO DAR hadi ya UTALII NA MALI ASILI wewe ushangai?

Kutoka dar kwenda arusha unakuwa umerudi nyuma, unatakiwa ukitoka kuishi dar kinachofata ni New york,London, Paris etc
Hahahahahah! Dah! ngoja wana-apollo wakusome hapa utashaa!
 
arusha rahisi kung'oa mademu wakali kwakuwa hamna ushindani wanaume wao wengi washamba na hawako romantic ila tatizo mademu wa arusha hawahongi!dar kung'oa mizigo wa maana ngumu wanaume wengi wa dar wajanja sound mia ila uking'oa kitu cha ukweli full bata!.....pembezoni mwa bahari ndo kwenye maisha mazuri!
 
pweehh...Asprin umeamkia wapi leo, ucniambia ndicho mnacho/unachojivunia......mtoa thread maisha ni kupanga, na kupanga ni kuchagua, popote unapoona patakuletea maendeleo yako ishi!
Dada kwani kuna anayepinga? Tunaweka mchanganuo hapa......... usisahau mie si mzaramo wala mmasai........ mi lichagga asilia toka migombani hukooooooo...... niliyewahi ishi mikoa yote hii. Ukiangalia kwa makini nimechambua kwa kuweka mizania ya mabaya na mazuri............. Nashangaa umekomalia hayo mazuri nliyoyaweka lakini hunisifii kwa hayo mabaya........... Nimesema Dar ni chafu.... Mbona hupingi? .......Wizi...... mafoleni....... et el. We umeona hayo mazuri tu? Wanshangaza!
 
Pole sana dada.........nami nikija ntakuja kukutembelea........ Stuka! Unaweza kuta ye alikuwa anaongea kawaida we ukahisi anajidai.......... si unajua tena maujanja?..........Naweza kuomba lifti kwenye bajaji yako wakati PRADO nimepaki nyumbani FULL tank......... ni ujanja tu si majivuno jamani....

so hayo ndio maujanja yenu, nikidhani maujanja mnapishana mkitafuta kwacha?...kweli uchaga umekutoka sasa, kila la kheri....mtoa mada, maisha ni popote unapoyapatia, unaweza kuishi dar kwa salary ya 3k ikawa shida but hiyo 3k kwa tanga/ruvuma ikawa ishu kutokana na kazi yenyewe, marupurupu, uwezo/njia ya kufanya biznec nje ya kazi yako etc ili mradi upate kujiongezea kipato...my dear angalia penye kwacha. kama dar/ruvuma/kilosa kote ili mradi kutoka....
 
Dada kwani kuna anayepinga? Tunaweka mchanganuo hapa......... usisahau mie si mzaramo wala mmasai........ mi lichagga asilia toka migombani hukooooooo...... niliyewahi ishi mikoa yote hii. Ukiangalia kwa makini nimechambua kwa kuweka mizania ya mabaya na mazuri............. Nashangaa umekomalia hayo mazuri nliyoyaweka lakini hunisifii kwa hayo mabaya........... Nimesema Dar ni chafu.... Mbona hupingi? .......Wizi...... mafoleni....... et el. We umeona hayo mazuri tu? Wanshangaza!

yaani na kuelewa lakini umekosoa sana kama vile hii thread imekosewa,haya babu kama unavyoitwa naomba uendelee kunielewesha
 
Dada kwani kuna anayepinga? Tunaweka mchanganuo hapa......... usisahau mie si mzaramo wala mmasai........ mi lichagga asilia toka migombani hukooooooo...... niliyewahi ishi mikoa yote hii. Ukiangalia kwa makini nimechambua kwa kuweka mizania ya mabaya na mazuri............. Nashangaa umekomalia hayo mazuri nliyoyaweka lakini hunisifii kwa hayo mabaya........... Nimesema Dar ni chafu.... Mbona hupingi? .......Wizi...... mafoleni....... et el. We umeona hayo mazuri tu? Wanshangaza!


mazuri yapi? hahaha kwamba kuna bot/wabunge/sbl?...hivi sbl haifiki kilombero?...hebu huko...pachafu/pasafi/joto/baridi yote poa inategemeana na mtu anavyotaka kuisaka kwacha(kichaga zaidi).....maisha popote kama umeyabamba dar, poa, kama mtwara/ruvuma poa. ishu sio sbl/tbl/MP/kuchafu/kusafi.....sawa wewe chasaka?....
 
arusha rahisi kung'oa mademu wakali kwakuwa hamna ushindani wanaume wao wengi washamba na hawako romantic ila tatizo mademu wa arusha hawahongi!dar kung'oa mizigo wa maana ngumu wanaume wengi wa dar wajanja sound mia ila uking'oa kitu cha ukweli full bata!.....pembezoni mwa bahari ndo kwenye maisha mazuri!


inackitisha sana, cjui wengine wanafikiria kwa ku2mia nn....cjui kwa kweli but inatia huruma sana kama ndio m2 anaweza kufikiria kwa kiwango hiki!..
 
mazuri yapi? hahaha kwamba kuna bot/wabunge/sbl?...hivi sbl haifiki kilombero?...hebu huko...pachafu/pasafi/joto/baridi yote poa inategemeana na mtu anavyotaka kuisaka kwacha(kichaga zaidi).....maisha popote kama umeyabamba dar, poa, kama mtwara/ruvuma poa. ishu sio sbl/tbl/MP/kuchafu/kusafi.....sawa wewe chasaka?....
Koooooote huko poa, lakini kukaa mbali na hizo mbingu ndogo kwenye red........NO WAY!!
 
inackitisha sana, cjui wengine wanafikiria kwa ku2mia nn....cjui kwa kweli but inatia huruma sana kama ndio m2 anaweza kufikiria kwa kiwango hiki!..
Mshiki, Dont take JF too serious: Source Kaizer 2011.
 
arachugga is everything banah,,,,, dar life is more expemsiv than arusha, i assure u that, coz nimewahi kuishi dar, na sasa naishi arusha,,, dar, kodi ya chumba sehemu kama sinza lets say, inarange kwenye 60 mpaka 80, na hapo ni chumba tu, wakati arusha, njiro unaweza kupata nyumba yenye choo, bafu, 1 bedroom, sitting room na kitchen kwa 80 mpaka kilo.. See the difference??, haya, tuje kwenye vitu kama foleni za barabarani, kama unatumia gari yako binafsi, kwa 4len za dar, unahitaji kama mafuta mengi zaidi kwa mizunguko ya kawaida tu kulinganisha na mtu aliyeko arusha, wen it comes to the hali ya hewa again, arusha is better,... Japo kuna vitu vingne ambavyo huku atwn ni bei gali kidogo kwakua vinatoka bandarini - dar, but still it doesnt make that biig difference kiasi icho,, soo, kwangu mimi, arusha is much better than dar

Don't liar, AR kuna foleni tena barabara ni finyu wakati jioni ni shida sio rahisi kupata njia za kuchepuka kama hapa Bongo.
 
Back
Top Bottom