mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,041
- 35,929
Wakurya haoMAJAMBAZI MENGI HUPENDA KUJIFICHA PEMBENI MWA MIJI,CHANIKA,MBEZI,MKURANGA NA N.K.
Wakurya haoMAJAMBAZI MENGI HUPENDA KUJIFICHA PEMBENI MWA MIJI,CHANIKA,MBEZI,MKURANGA NA N.K.
Mm mwenyewe nishakutana na mziki waoKwamba unawajua si bure utakuwa mmoja wao maana hata kwenye mada za madawa upo vizuri kwenye ufafanuzi wauza madawa wote wa Dar unawajua.
Wewe ukikosa kwenye Madawa basi ujambazi nina uhakika asilimia 50%😂😂Hahaha mm sijawahi hata dhulumu mzee
Sema wengine mishe zetu za mjini tunaona
Mengi
Ova
Pole iĺibidi uwaoneshe wewe ni naniMm mwenyewe nishakutana na mziki wao
Hawa watu,sina hamu nao
Ova
Ila kwa moto huu wa polisi majambaz wezi wenyewe watakaa pembenisiamini kama kuna kina kirefu kuliko cha serikali?
wauza madawa ya kulevya ni majambazi hatari sana.....tuwafichue wote.
Ah kdg nitiwe kilemaPole iĺibidi uwaoneshe wewe ni nani
Polisi wanawajua majambazi vzrKwamba unawajua si bure utakuwa mmoja wao maana hata kwenye mada za madawa upo vizuri kwenye ufafanuzi wauza madawa wote wa Dar unawajua.
Ni kweli usemacho mkuu.Wakumbushe ile ishu ya aliyekuwa kamanda wa upelelezi mkoa wa Dar Mr Zombe.Mwananchi wametumia kanuni ya uandishi habari kisahihi. Hayo ni madai ya polisi na hakuwa amepelekwa mahakamani. Kuna visa vingi tu walishaua watu na polisi wakadai ni majambazi ila baadae ikajulikana siyo.
Pigia Yesu Makofi👏👏Jeshi la Polisi Kanda Maalum limeua mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Kilambo Nyasairo, mkazi wa Chanika kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya ujambazi
#MwananchiUpdates
Nalipongeza sana jeshi la polisi kwa kumpora haraka silaha huyu jambazi
Ka juzi ile wakanza kutaja majina kibaoooo ile jau piga chumaHizi ndo habari napendaga kuzisikia,sio zile za polisi wakamata majambazi.Jambazi unamkamata ili iweje!
Kwamba unawajua si bure utakuwa mmoja wao maana hata kwenye mada za madawa upo vizuri kwenye ufafanuzi wauza madawa wote wa Dar unawajua.
Ila kwa moto huu wa polisi majambaz wezi wenyewe watakaa pembeni
Na sahv hata kama una ndg jamaa rafiki
Asijichanganye na makundi ya ovyo,au kukaa na mtu asiyemuelewa....
Maana ikitokea balaa ukijumuishwa kesi unayo
Ova
Utukufu upiTUSIBWETEKE TUZIDI KUTOA TAARIFA KWA JESHI LETU TUKUFU TUYAMALIZE MASHETANI HAYA.
Yameweka fence kubwa CCTV yanaogopa kuibiwa na majambazi menzaoHili ni kweli, nimelisikia mara nying kwamba maskani ya majambazi wengi hukaa kuanzia pugu na kuendelea huko mbele.Wana majumba mazuri sana karibu na misitu huko Kazimzumbwi,fence kubwa.cctv nk
Kama kweli ni majambazi, then hongera polisi! Kazi nzuriWafanywe hivo hivo, ilimradi wawe majambazi kweli....