Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
WAISLAM WATAANDAMANA TENA WAKIJUA MAANDAMANO NDO SULUHISHO LA MATATIZO YAO.

Take my Words
 
Sio ar tu PWANI YOTE ILIKUWA INAKALIWA NA WAISLamu, BABU YENU NYERERE NDIO ALIWAVUTA NYIE, akajidai kuanzisha vijiji vya ujamaa akawaleta pwani huku, tena mumshukuru sana nyerere nyie, leo mnajiona wajanja sana nyie na kuleta kejeli na matusi mengi !

jina lako linanikumbusha mbali enzi hizo somo la kiswahili ktk historia ya lugha.

Lakini ww bado ni uneducated person kwani hujui nini maana ya "FIMBO YA MNYONGE NI UMOJA"
sasa ss tutawezaje kupata maendeleo bila interconnection ya watu? Hujui kwamba ili mji uendelee ni lazima kuwe na wageni na wenyeji?
 
kazi kweli kweli siku za sensa imeisha au ni kwa CDM tu ambao ahawatakiwi kufanya hata mikutano ya ndani?
 
Hapo ndio tajua jinsi watu wengine wanavyo onewa!

Hapo polisi hawajaingilia na hakuna aliye jeruhiwa wala kukanyagwa!
 
Hi ni janja ya serikali ya ccm kuwafanya watanzania wasahau issue ya mauaji IRINGA na kukumbatia upumbavu. Shame on you.
 
Siamini kama huyu mtu anejiita Mohammed mtoi eti ni muislamu, amesoma wapi dini ya kiislamu inayomfundisha hivo? au ndio mradi baba na mama amezaliwa muislamu basi na mie muislamu, unatakiwa uende madrasa ukasome ili uelewe vema dini ya kiislamu inakufundisha nini juu ya hawa watu wa upande wa pili walio na chuki na dini yako! hebu angalia humu JF chuki wanayoitoa na kejeli teleee unasikitisha tena inafaa uombewe Duaa ili uzinduke ndugu yangu kama kweli wew eni musilmau kina ambacho mimi nina shaka nacho ..
Haya mmerudi ktk udini... nilijua tu mwisho wa yote haya tutakuja fikia hapa.. Sasa huyu kaitwa Muislaam kwa sababu kajiandikisha jina lake kama Mohammed Mtoi na ijewe kuwa ni lazima kwa Muislaam kumtambua Ukristu iwe Udini?..halafu kuna hili..
Kwanini waka msumbue mwislamu mwenzao na kuna mkristo wa kumpigia kelele?
Yaani hili taifa haliwezekani tena.. Tumekwisha
 


pole sana mkuu! siasa zimekufanya umeshindwa kujitambua!... angalia hawa wanaotukana waislam! zikija thread za chadema hawa hawa utakuta wako mstari mbele kutetea chadema na kutukana CCM ,... wameshahusisha CCM pamoja na uislam! ....

kuna mtu hapo juu kasema uislam bora ufutwe.. mwengine kaenda mbali na kutuita wapumbavu.. unategemea mtu kama huyu nije ni support kwenye siasa! while katukana iman yangu..?! hata kama unachukia CCM tetea iman yako kwanza , unajiita muislam huku upo upande wa hawa wenye kutudhalilisha waislam kwa maneno ya kejeli..?

Mimi nilijiunga 2006 - 2007 enzi za era za jambo forums nilikuwa neutral sana .. nilichoka na kejeli za hawa watu kwa waislam nikaamua kutengeza ID hii kwani nilishindwa kuvumilia baadhi ya watu humu wakidhalilisha imani yangu!..

nakupa pole tena.. kwa kuweka maslahi ya siasa mbele na kufurahi watu wakidhalilisha uislam kwa maneno yao ya kejeli na wajiita muislam..
Pamoja Mkuu, haya matusi yamenibadilisha hata mimi.
 
Kwa kuhitimisha tu, waislamu woote walioandamana leo, wakati kipindi cha siku saba zilizoongezwa kwa ajili ya sensa bado hakijamalizika, pamoja na waislamu woote ambao 'wameyamiss' maandamano hayo kwa namna moja au nyingine hasa wale wanaojiita Great Thinkers wa humu, woote hao motherfantaz. Uchochezi tu mpaka kwenye mikalio yenu, mnatia hasira mjue, mbona wakristo hawapo hivyo? Na wanashirikiana kwenye mambo mengi sana na matokeo wote tunayaona. Ninyi motherfantaz ikija vita dini mlipuane wenyewe, na hao wapumbavu wanaowajaza ujinga. Nyambaf!
Siyo waislam wote ni watu wa amani.Kuna mujahedeen ama Alkaeda nk.Sasa hao utawakuta wanapata baraka za misikiti.Nguvu za maextremist wenye msimamo mkali imewashinda moderates.Na consenquences ni for all regardless.And that's the sad part of it.
 
Mfano mzuri wa jinsi ya kuandamana, kuebuka ghafla somewhere out nowhere.
 
Wewe roho itakuuma sana na bado hao ndio Waislam, Chadema bila kuwa kitu kimoja na Waislam kuchukuwa nchi ni ngumu.
CDM ni chama cha Siasa, misingi yake ni kuwakomboa wananchi kutokana na Dhulma wanayofanyiwa na CCM. Serikali ya CCM imetudhulumu Waislam kwa muda mrefu, matokeo yake Waislam wengi tupo nyuma kielimu, kiuchumi na kifikra. Serikali ya CCM baada ya kuchukua madaraka, Ilihakikisha kuiua kimaendeleo Miji iliyokuwa Mikubwa kimaendeleo na yenye waislam wengi kama vile Lindi,Tanga, Pwani, Tabora, Kigoma nk. Kabla ya Uhuru, tulikuwa na Mahakama ya Kadhi, Serikali ya CCM, ilipiga marufuku na kutuanzishia Bakwata, kuweka makada wao kuiongoza kutudhibiti waislam.

Mh Ritz! Kama unakumbuka Waislam tulikuwa pamoja kuhusu kipengere cha dini kuwa ndani ya Sensa. Viongozi wa Bakwata waliitwa na kukumbushwa wajibu wao, wakatugeuka, wakapewa TV, Radio na Magazeti kueneza fitina zao. Nashindwa kuelewa Ubaya wa kipengele cha dini katika Sensa, kwani hakibadili imani ya mtu (it is what it is) Zaidi ya kujua Idadi halisi ni mgawanyiko. Serikali ya CCM ilijua,Siri itafichuka, maana maeneo yenye waislam wengi, yapo nyuma kimaendeleo. Huo ndio ukweli, kama hauamini soma history ya Tz, miji ilyokuwa na maendeleo kipindi cha mkoloni, then tembelea sasa hivi uone hali halisi.

Mh Ritz! Unakumbuka ni Serikali ya CCM iliyoruhusu kitimoto kuuzwa ovyo hapa Dar-es-salaam, tulipolalamika, hawakutusikiliza. Tulipoamua kuchukua hatua, Serikali ya CCM, chini ya Alhaj Mwinyi, walitupiga mabomu, Waliwadhalilisha Masheikh wetu pamoja na Mavazi yetu.Serikali hiyohiyo ya CCM iliyopiga marufuku Hijab kuvaliwa shuleni, Kazini mpaka Alhaj Mwinyi aliporuhusu. Viongozi haohao wa CCM, wilimpiga vita Prof Kigoma Ali Malima, kutokana na Dini na msimamo wake.
Mh Ritz! Mimi nikiwa Muislam, AlhamduLillah nimejaaliwa Elimu na Hikima, Sikubaliani na Propaganda za CCM, kwani wao na serikali yao ndio hadui mkubwa wa Uislam na Waislam hapa Tanzania.
 
kazi kweli kweli siku ya sensa imeisha au ni kwa CDM tu ambao ahawatakiwi kufanya hata mikutano ya ndani?
 
Wanaandamana katika mambo yenye kipaumbele kidogo na kuacha yenye kipaumbele kikubwa.

wangeandamana kudai kuongeza majengo ya chuo kikuu cha Waislamu morogoro hawa jamaa wangekuwa mbali sana kielimu. tangu Mkapa alipowapa majengo hayo ya serikali miaka 10 iliyopita hawajaongeza darasa hata moja.

Kauli mbiu ya maandamano 'Mauti mbele Uhai nyuma',wametawanyika sasa baada katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani kuwapa majibu ya kuwaachia ndugu zao waliokamatwa kwa kugomea sensa.wameelekea magomeni kujipanga kwa ajili ya kwenda Baraza la Mitihani kwani pia wana madai huko kwamba huwa wanafelishwa sana mitihani yao yaan wao waislam.
 
According to logic, kwa kuwa (IF) 'CDM ni chama cha waandamanaji', na (AND) 'waislaam wameandamana na Rejao ni muislam (anawasupport waislam), basi (THEN) Rejao na waislam walioandamana ni CDM.

intelegencia ya kipolisi ilikuwa wapi hadi wakafanikiwa kuizingira wizara ya mambo ya ndani?
au intelegencia ya kipolisi hufanya kazi kwa makini na ufanisi zaidi kwenye maandamano na shughuli za CDM?
 
Kabla sensa haijaisha waislam wameandamana,,,,,,,,
 
wawafukuze waone cha moto ha ha ha ndo utawala wa sheria ulivyoegemea upando mmoja kweli tanzania inaongoza kwa utawala bora ingekuwa M4C washapigwa na kufunguliwa kesi long time wakipewa sababu eti inteljensia inaonyesha kutatokea vurugu,shame on u
 
mbona hawajawalipulia mabomu? si bado zoezi la sensa linaendelea? au kwasababu hayana mkono wa CDM?
 


Kwani sasa hivi ni nani anayewadharu na kuwadhulumu waislam? ccm au chadema?

nisingependa kujadili siasa! sababu haya maandamano haya harufu ya siasa... usinipeleke huko tafadhali ..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom