mnyanyaswaji
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 478
- 118
Nimekuelewa mkuu, but mazingira yale yamenitatanisha na kunikwaza sana. Nilikuwa karibu na eneo la tukio ikabidi nikae mbali kabisa. Thanks kwa ufafanuzi zaidi. Tupo pamoja.
Pamoja Mkuu ndio kuelimishana huku