Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Ponda si alipendekezwa na waumini agombee ubunge?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
intelegencia ya kipolisi ilikuwa wapi hadi wakafanikiwa kuizingira wizara ya mambo ya ndani?
au intelegencia ya kipolisi hufanya kazi kwa makini na ufanisi zaidi kwenye maandamano na shughuli za CDM?

ndio uamini kua wavunjifu wa aman ni polisi,,,,,maandamano leo yamefanyika hadi katikati ya JIJI,,,,TENA MAKAO MAKUU YA POLISI,NANI AMEVUNJA AMANI?????
 
Mimi amenishangaza sana huyu Mushi tena jina lake la kichaga, amejisahau kabisa, amekaribishwa kama babu yao nyerere sasa atupande vichwani eti twende zanzibar, nadhani haijui historia ya darisalama akasome vizuri tena sio dar akasome historia ya PWANI, kuanzia MBWA MAJI KIGAMBONI MPAKA PANGANI TANGA ...

kuweni makini watawafanya kama wale ndugu zetu wa gaza strip.si wameshaona kuna gesi huko mtwara,lindi na pwani yote ndio Tanzania.
 
Mkuu Ikulu nendeni nyie sie tuna madai yetu...usitupangie.

MUNGU awabariki... Miaka 50 Malalamiko yenu hatukuwahi kuyaona kwenye Maandamano... Sasa hivi yanatisha... YANA UBABE,

NGUVU... hatujawahi kuona tunayaona kwenye TV kwenye nchi za watu wengine; kwanini tusiulize? tulidhani kudai haki ilikuwa

kuna njia tofauti na pale kweni nyinyi RAIS ni MWISLAMU; MAKAMU MWISLAMU na WAZIRI WA ULINZI MWISLAMU; JAJI

MKUU MWISLAMU; JAJI KIONGOZI MWISLAMU nilidhani kuna njia za kiusalama kufuata... SIO KUTISHIA JIJI ZIMA...
 
Kishaekeweka na watu washasepa we kaa hapo usubirie udaku
Ashakum si matusi kaka, nimepita hapo mida ya kama masaa mawili yalopita, wanatiana hamasa wenyewe "..hatuondoki mpakaaaaa......kielewekeeeeeee"...ntapita tena hapo mida ya saa 2 na nusu usiku,najua kitakuwa hakijaeleweka bado, ila watakuwa hawapo..tehe tehe..watisha nyau!
 
Waambie Ritz, Uislamu/akhera kwanza then Siasa/dunia baadae. Hata tukiwa wachache humu JF basi mpaka mwisho wa pumzi Uislam utatetewa then Cdm/ccm badae.

Wakuu naona mnaleta mipasho sasa! Naomba miongoni mwenu anionyeshe wapi nimesema siasa kwanza halafu dini baadae!? Nitawaheshimu sana kama mtafanya hivyo na mtakuwa na haki ya kunituhumu vinginevyo mbele ya Allaah. Kama msipo fanya hivyo nitawasamehe bure.

Binafsi naamini inaanza Imani halafu Itikadi. Karibuni mdhibitishe wakuu.

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
kazi kweli kweli siku za sensa imeisha au ni kwa CDM tu ambao ahawatakiwi kufanya hata mikutano ya ndani?
 
hao ndio waislam bwana, tukiamu tunaweza na hakuna wa kutuzuia.
Mwenyezi Mungu atuzidishie kheri.
Wanaotudhulumu na kutunyanyasa mwisho wao hauko mbali, watambue kuwa waislam wa sasa sio wa mwaka sitini, wanajitambua zaidi.
 
WAISLAM WATAANDAMANA TENA WAKIJUA MAANDAMANO NDO SULUHISHO LA MATATIZO YAO.

Take my Words

Nimeskia radio one kuwa wanaandaa tena maandamano ya kuhamasisha kiongozi mmoja wa baraza la elimu afukuzwe kazi kwa sababu anawabania waislamu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu Ikulu nendeni nyie sie tuna madai yetu...usitupangie.

MIMI SINA shida... Nilishaondoka nilisha JUA WAISLAMU wataiharibu NCHI YA TANGANYIKA... Nimeikimbia...

LAKINI nilipo ninacampaign kabambe... Mtanisikia... ETI SENSA ni ISSUE baadaye kupanda MABASI na Wakristo itakuwa Issue

Kama Nchi Zingine za Kiislamu... Yaani Visa havitaisha...
 
Polisi wa IGP mwema wako wapi kuzuia maandamano hayo ambayo yanafanyika kabla ya sensa kwisha?. Polisi hao wapo kwa ajili ya M4C tu na wanachama wa chadema?. Je vyombo vya usalama vilikuwa havina taarifa kwamba waislam watafanya maandamano hayo leo?. Nina wasiwasi mkubwa na jinsi nchi inavyoendeshwa, kwani inaonekana wazi kwamba vyombo vyote vya usalama viko kuwadhibiti Chadema tu na wala si kitu kingine.
 
Kwanini wewe Jmushi1 usirudi kwenu Moshi utuache sisi na Dar yetu?? Ukijibu hilo then tutazungumzia issue ya ZnZ.
Dar si Zanzibar mkuu,Dar ni Tanganyika,ama hujanisoma vyema.Na nimetoa ushauri tu,ili tukae kwa amani side to side.Halafu kama wewe ulizaliwa Dar,nani kakwambia Dar ndo ya waislam?hiyo ni chini ya bwana yenu Sultan.Kama mnataka amani,Zanzibar inawatosha kabisa mkuu.Otherwise tuombe tu itokee wale moderates wakufukuzeni wenye msimamo mkali kutoka misikitini.
 
yaani hawa wangefanya haya enzi za mkapa angewapigisha kichura mapka kanzu zingewavuka hizo.sasa huyu mwenzao inakuwa kazi kweli kwa jeshi kuwapiga mabomu kwa karibu kama kule iringa
 
hao ndio waislam bwana, tukiamu tunaweza na hakuna wa kutuzuia.
Mwenyezi Mungu atuzidishie kheri.
Wanaotudhulumu na kutunyanyasa mwisho wao hauko mbali, watambue kuwa waislam wa sasa sio wa mwaka sitini, wanajitambua zaidi.
Hakuna kitu kama hicho...waulize wenzako wa mwembechai...mnatunzwa kama mayai na serikali ya ccm kwa sababu nyinyi ni mtaji ambao hata baadaye utatumika. Usijivunie sana, unatakiwa uone aibu...
 
quote_icon.png
By Mohamedi Mtoi

Mimi huwa namshangaa sana Ritz! Hata kama ni muislamu wa siasa kali uislamu wetu hauna chuki na upande wa pili namna hiyo! Kwanza muislamu yoyote uislamu wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa ukristo kama jinsi ukristo unavyotambua uwepo wa uislamu! Uelewa mdogo ndio unamfanya Ritz anakuwa mbumbumbu wa mambo ya dini kiasi hiki!

Hapa leo anawatetea ccm na kusahau kuwa ccm ndio waliichafua cuf kuwa ni chama cha udini n
a kigaidi, baadae haohao wakasema chadema ni chama cha wakristo lakini wao hawasemi kuwa ni chama cha dini gani! Sasa ukija hapa ukimuona jinsi ritz anavyotoa povu la udini unajua kabisa aidha uelewa wake ni mdogo au yuko hapa kwa kazi maalum ya kipato kutoka Lumumba.

Mimi ni muislamu lakini napingana sana na misimamo ya Ritz! Alisha diriki kuniambia Mohamedi na chadema wapi na wapi?! Huu ni upovu iliopiitiliza na tangu siku ile niliamua kumsamehe bure na kumkabidhi Mungu maana nimeona ni mtu ambae ana uabisha hata uislamu wenyewe.



Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.

Hakuna Muislaam wa siasa kali wala baridi. Uislaam ni Uislaam tu. Mafunzo yake basically yanatokana na Qur'an na Qur'an ni moja tu.

Hayo ni maneno yanayojengwa na wasio waislaam ili kuwatenganisha waislaam na kuyatamk akwako na kuyakubali ina maana wewe umemeza, chambo, ndoano, chubwi na mshipi. Tafadhali badilika na uelewe Uislaam ni mmoja tu na usidanganyile wala usidanganywe kuwa kuna Uislaam wa siasa baridi au siasa kali.

Waislaam tunaelewa kuwa wapo wanaojiita Wakristo lakini Uislaam hautambui kama kuna Dini ya Mwenyeezi Mungu inayoitwa Ukristo.

Ingekuwa kweli umesameh hii post yako isingebeba jazba namna hii.

Uislaam unatiwa aibu na wale wanaokuwa na mashtani wenzao husema kuwa sisi tu pamoja nanyi wale tulikuwa tunawadhihaki tu. Uislaa hauingii aibu kwa kuusemea kwa wema japo neno moja tu la mafundisho yake. Kama unayeelewa vizuri mafundisho ya Kiislaam hutakiwi kuona haya kwa Uislaam wako. Kipi kibaya katika Uislaam hata kikufanye uone haya?
 


WAISLAM WATAANDAMANA TENA WAKIJUA MAANDAMANO NDO SULUHISHO LA MATATIZO YAO.

Take my Words

Ukitaka kujua Wamechemsha ni HAPA! Wameshahesabiwa na Wanarudishiwa Watu ambao Wameshahesabiwa

i can see you are seeking attention ! hiyo roho yako mbaya kwa waislam! itakuja kukukondesha! ... leave your life mate! uislam ulikuwepo .. upo na utaendelea kuwepo... kashfa zako humu JF wala hazitorudisha nyuma hii dini .. pole sana
 
MIMI SINA shida... Nilishaondoka nilisha JUA WAISLAMU wataiharibu NCHI YA TANGANYIKA... Nimeikimbia...

LAKINI nilipo ninacampaign kabambe... Mtanisikia... ETI SENSA ni ISSUE baadaye kupanda MABASI na Wakristo itakuwa Issue

Kama Nchi Zingine za Kiislamu... Yaani Visa havitaisha...
Nchi ikikombolewa,hao ni wa kukimbizia mbali.Sikufichi mkuu,nchi ikikombolewa,wale mafisadi watakuwa targeted,too sad ikitokea ni wenye msimamo mkali,itakula kwao.Hao ni mafisadi wanawatumia mujahidina.
 
here are currently 724 users browsing this thread. (167 members and 557 guests)

HAA,MUFTI SIMBA AIBU YAKO HIYO
CHEKI SHEKHE PONDA ANAVYOWEZA KUUSIMAMIA UISLAMU WETU LICHA YA MIZENGWE YOTE
NA SASA CHEKI WADAU WANAVYOFUATILIA HII ISHU
THANKS ALLAH
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom