Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Rafiki zangu waislamu elekeeni ilipo IKULU kule magogoni hata mimi ambaye sio muislamu nita join maandamano tumg'oe JK dhaifu, sasa hapo wizarani waziri NCHIMBI na kamtu kadogo tu, hata hakijiuzulu leo hakuna mabadiliko yeyote yatakayotokea.

Kwanini waka msumbue mwislamu mwenzao na kuna mkristo wa kumpigia kelele?
 
Tupambane kwenye siasa kwenye dini wewe mtupu kabisa, mie na wewe sijui nani ambaye anauabisha Uislama...ngoja nikunukuu maneno yako..."Muislam yeyote Uislam wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa Ukiristo" haya ni maneno ya mohamed Mtoi, sijui kayapata wapi.

Nakala kwa zomba, njiwa, Ngogoseki, Mkandara, Mwali, na Waislam wote JF.

How old are u??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli maandamano yanafanyika kushindikiza kuuachiwa Waislam wenzao waliokamatwa kutokana na kukataa kuandikishwa sensa.
Kama mtu anagomea sensa lazima akamatwe afunguliwe mashtaka Hebu waache mambo ya vijiwe vya kahawa
 
Tupambane kwenye siasa kwenye dini wewe mtupu kabisa, mie na wewe sijui nani ambaye anauabisha Uislama...ngoja nikunukuu maneno yako..."Muislam yeyote Uislam wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa Ukiristo" haya ni maneno ya mohamed Mtoi, sijui kayapata wapi.

Nakala kwa zomba, njiwa, Ngogoseki, Mkandara, Mwali, na Waislam wote JF.

Siamini kama huyu mtu anejiita Mohammed mtoi eti ni muislamu, amesoma wapi dini ya kiislamu inayomfundisha hivo? au ndio mradi baba na mama amezaliwa muislamu basi na mie muislamu, unatakiwa uende madrasa ukasome ili uelewe vema dini ya kiislamu inakufundisha nini juu ya hawa watu wa upande wa pili walio na chuki na dini yako! hebu angalia humu JF chuki wanayoitoa na kejeli teleee unasikitisha tena inafaa uombewe Duaa ili uzinduke ndugu yangu kama kweli wew eni musilmau kina ambacho mimi nina shaka nacho ..
 
Intelegensia ya Mwema iko wapi hadi watu wanaandamana? Au imeenda kumfuatilia ya CHADEMA imesahau mengine! Je sensa imeisha hadi wanawaruhusu kukusanyika? Je ingekua CHADEMA ingekuaje? Wale askari waliyemuua kaka yangu Mwangosi (R.I.P) wako wapi waende akawa wakawa wakafanye waliyoyafanya Nyololo kwa kuna tofauti gani na hao wanaondamana?
 
mbona sijaona vile vitambaa vya hali ya hatari wanavyowekaga police wakati wa kuwatawanyisha CDM kwenye mikutano yao ya amani au sasahivi hawana vimeisha kule Iringa.

ukimchunguza sana bata hutaweza kumla bora uwe mpole tu na kuendelea kutupia comments tu..
 
Sasa hapa ndipo napoishangaa hii intelijinsia ya polisi.Polisi hawakujua kuwa kuna maandamano yamepangwa?

Ingekuwa ni chadema intelinjsia ya polisi ungeisikia.

Ovyo kabisa.

This is double standard.

Yaani umemaliza mkuu!!! Sii hapo tu, hata jana ule wizi wa benki CBA Nyerere Road na ujumbe ulifika polisi mapema maana kuna mtu alituma sms pale immediate halafu eti hakuna polis na wezi walikaa pale over 15 minutes. But ingekuwa ni CDM tu ndani ya dk 5 polisi wangewasili kwa farasi, pikipiki, magari ya washawasha etc. This is questionable!!!
 


pole sana mkuu! siasa zimekufanya umeshindwa kujitambua!... angalia hawa wanaotukana waislam! zikija thread za chadema hawa hawa utakuta wako mstari mbele kutetea chadema na kutukana CCM ,... wameshahusisha CCM pamoja na uislam! ....

kuna mtu hapo juu kasema uislam bora ufutwe.. mwengine kaenda mbali na kutuita wapumbavu.. unategemea mtu kama huyu nije ni support kwenye siasa! while katukana iman yangu..?! hata kama unachukia CCM tetea iman yako kwanza , unajiita muislam huku upo upande wa hawa wenye kutudhalilisha waislam kwa maneno ya kejeli..?

Mimi nilijiunda 2006 - 2007 enzi za era za jambo forums nilikuwa neutral sana .. nilichoka na kejeli za hawa watu kwa waislam nikaamua kutengeza ID hii kwani nilishindwa kuvumilia baadhi ya watu humu wakidhalilisha imani yangu!..

nakupa pole tena.. kwa kuweka maslahi ya siasa mbele na kufurahi watu wakidhalilisha uislam kwa maneno yao ya kejeli na wajiita muislam..

Mkuu hakuna kitufe cha like, ila chukua like. Huyu jamaa yupo kwenye usingizi mzito, awaulize mashekhe waliomfungisha swaumu nyerere wakidhani baada ya uhuru watakula keki pamoja.
Hawa pro-CDM wengi zinapokuja post zenye mlengo wa dini ya kiislam ndio utakapowajua rangi yao ya kweli.
 
Rejao nishamjibu, mi ndio njia yangu kila siku hilo eneo analolitaja, zaidi ya barabara kuchimbika kidogo opposite ya Posta hse na Wizara mambo ya ndani karibu tu na bank apo sijaona hayo maji anayosema yeye. Na hao hawaswali kumuonyesha mtu bali wanataka radhi za Muumba wao, sidhani kama wanaweza poteza muda wao kuswali sehem chafu mbichi. Nadhani ushanielewa
Nimekuelewa mkuu, but mazingira yale yamenitatanisha na kunikwaza sana. Nilikuwa karibu na eneo la tukio ikabidi nikae mbali kabisa. Thanks kwa ufafanuzi zaidi. Tupo pamoja.
 
Huwaoni polisi magamba na silaha zao za moto wakiwezengeazengea tayari kufanya mauaji mengine?

JK mtihani anao safari hii, atakoma kuringa mwaka huu, Mungu ibariki Tanzania.
 
Kwanini waka msumbue mwislamu mwenzao na kuna mkristo wa kumpigia kelele?
Ndo ukweli aisee,duh!yani sikuwahi kujuwa kuwa ukiwa muislam unachukia wenzako kiasi hiki.Wamechanganyiwa madesa na mwarabu ambaye yeye lengo lake kubwa ni kumfutilia mbali "kafiri",sasa na wao hawajui kuwa huyo kafiri anaweza kuwa ndugu yako,mwananchi mtanzania mwenzako nk.
Ndo hapo utajuwa kwanini wengine huwa wanadoubt kama usilam ni kweli dini ya amani.
 
Basi ponda ni kiboko yao! Kama walimshindwa ponda ambae alikuwa ana pinga waziwazi kwa nini wasiwaachie wengine?
Si walisema wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuhesabu watu?
Namuona mtu wa shoka Ponda ndio anayeongoza umati mkubwa wa maandamano.
 
Polisi bhanaa yaani wakiona maandamano tu mimacho inawatok!
 
Kwa kutumia pesa za MoU kati ya kanisa na serikali, yaani kodi zetu na baadhi kutoka vatican ... je huoni kuna haja na sisi waislam turuhusiwe kujiunga na OIC ili tufaidike na kujenga mahospitali na mashule ! na mkaacha kututukana na kutukejeli!

Litakuwa ni jema mkuu tukitumia umoja wetu kwa ajili ya mambo ya maendeleo
 
nawapenda sana waislamu kwa kuwa ni watu jasiri linapokuja suala la kutafuta haki.
bravo my brethrens!

and am a christian...
 
Hapana,Tanganyika haina huu ujinga,solution ni kwaachia Zanzibar kisha muhamie huko.Mkitaka kutawaliwa na Sultan,mjuwe tutazichapa maana atadai Pwani,Kilwa,Dar na kwingineko.Hatuwezi kuacha kufanya shughuli za kimaendeleo kwasababu ya wajinga wanaotumika.It is just my opinion,just like yours.
Hizo shughuli za maendeleo unazifanya wakati gani wakati muda wote umo kwenye fuso la M4C.
 
Hapana,Tanganyika haina huu ujinga,solution ni kwaachia Zanzibar kisha muhamie huko.Mkitaka kutawaliwa na Sultan,mjuwe tutazichapa maana atadai Pwani,Kilwa,Dar na kwingineko.Hatuwezi kuacha kufanya shughuli za kimaendeleo kwasababu ya wajinga wanaotumika.It is just my opinion,just like yours.
Jmushi1 narudi tena kwako, JF inasomwa na watu wengi kutoka sehem mbalimbali, lengo kuelimishana etc. Sasa mtu kama wewe unapokuja na hoja kama hizi za ukanda/chuki za dini je tutafika? Wapo wanaokuja na hoja za CDM chama cha kaskazini/kikristo na wanapingwa vikali, je unajua kwanini? Sababu si lengo la mada za JF, badi kwaajili hiyo nami nakupinga/ntakupinga vikali endapo utaleta ukanda/udinism, na usichukulie advantage ya kusema ooh mbona fulani anasema hivyo. Kuwa GreatThinker usiige kila pumba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom