kakamukubwa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 203
- 27
Mngeandamana kwanini mwislam mwenzenu muuza magazeti Moro ameuawa na askari mngekuwa wa maana. Ila mnadhihirisha jinsi gani mlivyo kichwani
Unatukumbusha machungu.
Mngeandamana kwanini mwislam mwenzenu muuza magazeti Moro ameuawa na askari mngekuwa wa maana. Ila mnadhihirisha jinsi gani mlivyo kichwani
Nchi imelaaniwa kwa kweli tungeigawa waislam wakae upande wao na wakristu upande wao
Una uhakika huyo mtu ni chadema? Je kama angekuwa ccm ungefanyaje?Huna nyimbo Mohammed Mtoi, soma mwanzo wa thread mpaka mwisho, na sasa hivi Ritz amekuletea mtu anakejeli hata wale walorukuu kumuomba Rehma Mola wao kuwa watu wanaopenda mambo ya Mombasa ! give me a break! hao ndio unataka uwakumbatie just kwa sababu unaipenda chadema ! angalia ndugu yangu unakoelekea utakuja kosa radhi na rehma za Muumba wako useme umefanyiwa kumbe ni imani yako mbovu na dhaifu !
Bora hata ungeapply Transitive relation!!!According to logic, kwa kuwa (IF) 'CDM ni chama cha waandamanaji', na (AND) 'waislaam wameandamana na Rejao ni muislam (anawasupport waislam), basi (THEN) Rejao na waislam walioandamana ni CDM.
Nashindwa kuelewa ni kwanini haya maandamano yanaruhusiwa bila kibali wala taarifa ila maandamano yanayotolewa taarifa yanazuiliwa na polisi. Tena polisi wako wanaangalia tu wala afawanyikitu hii litawatafuna sana watawala hii ni dhambi kubwa sana wanafanya na italeta mgawanyiko mkubwa sana kwani walianzisha dhana ya udini sasa unawatafuna wanashindwa kuuzuia
POLISI NA WAANDAMANAJI WAFIKIA MAKUBALIANO NA Vigogo wa mambo ya ndani,na waislam wote walikamatwa nchi nzima kwa ajili ya Sensa kuachiwa huru,maandamano yameisha,barabara zimefunguliwa..TAKBIIR..WAISlam kukutana msikiti wa Kichangani kwa ajili ya kupiga simu nchi nzima,kujiridhisha kama kweli wenzao wameshatolewa.SOURCE Clouds Fm -Jahazi
Una uhakika huyo mtu ni chadema? Je kama angekuwa ccm ungefanyaje?
Huwa nakuheshimu sana Mushi, ila leo, naomba nikwambie hivi, nyie muondoke Dar kwa wailsmu mrudi kwenu bara ! mutuwachie Dar yetu halafu muone !
sensa sio siasa kule kwingine ni hofu ya kupoteza tonge ndio maana huwa wanatoa macho sana.Hayana harufu ya Siasa.,
Sasa ndio mjue kuwa CDM bila waislamu hawata shika hii nchi.
Huyo jamaa anachekesha kweli yaani wao watoke Moshi waje Dar kwetu halafu sie tuache mijengo yetu Dar sehemu tulipozaliwa sisi pamoja na babu zetu twende Zenji, yeye ndio arudi Moshi wakatangaze taifa lao la Kaskazini.
sote ni ndugu chamsingi ni kuwa watanzania wanaandamana haaijalishi ni wa dini gani, tusiruhusu dini za kigeni zitugawe, ccm naona siasa za majukwaani zimewashinda na sasa inatumia kete ya udini ,matokeo yake ndio haya,," Ukristo ,uisilamu zote ni dini za kigeni wanaotoka povu sababu ya udini hawajui historia
Mkuu wangu.
Alisema huo ***** ndio wa kudeal nae na kumuelimisha asitukane dini yetu! Haimanishi kwa kuwa yeye kanitukana basi niseme nimetukanwa na wakristo wote wa jf na hivyo niwe na chuki nao wote na hata ikiwezekana niwajengee uhasama na chuki mbaya ya udini! Huo utakuwa ni uenda wazimu kaka. Uislamu wetu hautufundi chuki za namna hiyo mkuu. Kama uislamu ungekuwa wa namna hiyo tusingekuwa tunaishi na watu wa dini nyingine kwa amani na ushirikiano huko mitaani.
Fikiria nje ya kasha mkuu.
Wabillaah tawfiq, salaam alykum.
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Baada ya maandamano Hatimaye waislamu waliokua wamishikiliwa waachiwa huru souce ITV BREAKING NEWS
nawapenda sana waislamu kwa kuwa ni watu jasiri linapokuja suala la kutafuta haki.
bravo my brethrens!
and am a christian...
Namuona mtu wa shoka Ponda ndio anayeongoza umati mkubwa wa maandamano.
ukisema ni dini ya wenye nchi kama wewe ni muislam itakuwa ni nchi ya waarabu maana ndio wenye dini yao,kama wewe ni mkristu basi itakuwa ni nchi ya wazungu.ninavyojua mimi dar ni ya wazaramo wale wataalam wa mkwaju ngoma ba mdundiko na sio tumsifu yesu kristo wala mswalie mtume.msitusumbue hapa na viimani vyenu vya kikoloni.Hapana, ni dini ya aliyekuumba wewe na wazazi wako.