Watanzania tunashukuru kwa CHADEMA kuwezesha kufungua milango inayoruhusiwa kikatiba kufanya maandamano maana bila ya kashikashi za CHADEMA leo waandamanaji wasingeweza kuandamana katikati ya Jiji la Dar-es-Salaam.
Na sasa kazi kwa serikali kujiandaa kutoa ulinzi kwa maandamano lukiki yatakayokuwa yanafanyika maana somo la CHADEMA limeshaeleweka kwa kila Mtanzania.
Kuna siku tutaona watu getini Magogoni wakiwa na mabango, kweli sasa serikali ya CCM itazidi kuchanganyikiwa
.
Picha za maandamano jijini DSM 07/09/2012 kwa hisani ya http://kumkichwa.blogspot.co.uk/2012/09/breaking-news-picha-za-maandamano-ya.html
Na sasa kazi kwa serikali kujiandaa kutoa ulinzi kwa maandamano lukiki yatakayokuwa yanafanyika maana somo la CHADEMA limeshaeleweka kwa kila Mtanzania.
Kuna siku tutaona watu getini Magogoni wakiwa na mabango, kweli sasa serikali ya CCM itazidi kuchanganyikiwa
.Picha za maandamano jijini DSM 07/09/2012 kwa hisani ya http://kumkichwa.blogspot.co.uk/2012/09/breaking-news-picha-za-maandamano-ya.html