Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,771
hope utavuna mnachokipanda ,mbona ile ya miaka 55 ndio mafao hamkuandamana wanafki tuu,mambo ya msingi mnanyamaza upumbavu mnaandamana .tatizo elimu ndogo.
waislam sio waoga! mwislam yupo tayari hata kupoteza maisha yake kwa ajili ya ndugu zake! hii yaitwa ikhwan muslimin "muslims brotherhood" hatujali kabila, ramgi, jinsia.. as long una kalimah ya la! ilah! ila Allah! wewe ni mwenzetu