CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
ilikuaje chief?Toka waniibie 35000Tshs Kwa kukata Tiketi Online..Basi huwa napita hivi wao wanapita kule.
ilikuaje chief?Toka waniibie 35000Tshs Kwa kukata Tiketi Online..Basi huwa napita hivi wao wanapita kule.
Michina hiyo body tu mashine hamna kitu.Mdomo bakuli, Bus hazina mwaka hizi halafu
Nilifanya Booking kwenye System yao ya Online Ticket. Bus ya kahama...nimepita hatua zote mpaka kutuma pesa.Sasa issue ikawa wao kunitumia zile namba.ilikuaje chief?
Mkinga ile kimbola yake imebuma, labda kama atatoa tena lafara kama wafanyaavyo
Pia lazima kabeba karedio kake kafungulia redio freeafrica,wasukuma wanapenda wenyewe kupigwa na wajanja hawabadilikiKumbe ndo ww uliyevaa suruali ya kitambaa cha chifon nyeupe!safi sana mkuu!wajitahid kubadilika kwakwel
Jibu sahihi kwa mtu sahihi.
Wooow!! Realy? That's awesome... Wish you made mine too!! Any idea manengelo ??🤣🤣🤣🤣🤣 u made my day jamn
hayo mabus labda ya uko kwenu ndo yamechoka kutokana na umbali wa safari, DAR LUX za kwenda moshi/arusha ni noumaaa yana bei ya juu lkn ni shidyaaa yanapendwa na watu haswa na ukipata unafika kwa muda mzuri
Hivi ukiwa na magari 100 alafu 1 likiwa bovu utasema magari yangu 100 ni mabovu!!!?
Hivi ukiwa na magari 100 alafu 1 likiwa bovu utasema magari yangu 100 ni mabovu!!!?
kwamba mabasi mawili yakiwa na kasoro kampuni inaelekea kaburini
Kafara haihitaji wenye hatia,Daaah kama kafara lisihusishe abiria wasokuwa na hatia!! Lishindwe kabisa.
labda anamaanisha ukilichomoaa...Betri ya basi unaweza kusababisha kampuni kuelekea kaburini?
Wooow!! Realy? That's awesome... Wish you made mine too!! Any idea manengelo ??
Embu njoo pm kwanza I guess I can make your week
Pia lazima kabeba karedio kake kafungulia redio freeafrica,wasukuma wanapenda wenyewe kupigwa na wajanja hawabadiliki
kwamba mabasi mawili yakiwa na kasoro kampuni inaelekea kaburini
Wanapenda hizi suruali hatariKumbe ndo ww uliyevaa suruali ya kitambaa cha chifon nyeupe🤣!safi sana mkuu!wajitahid kubadilika kwakwel