Dar kumejaa wanawake wazuri sana

Hahaha.. Naamini wewe sio mmoja ya hao wanawake wa dar wanaoamini kuwa mzuri mpaka uwe na rangi ya carrot

Sipo huko kwenye rangi ya carrot
Ni tatizo la kutojiamini tu linawasumbua but tunawapokea wengi tu wenye cancer za ngozi
5 years to come kutakuwa na ongezeko la cancer ya ngozi
 
Kama hawa..
Screenshot_20191006-182144.jpeg
 
Watu hawajui. Dar hali ya hewa (joto) linawabeba sana. Kuke kusweat muda wote ghafla tu mtu anajikuta ashakuwa mrembo hatari hata kama alitoka mkoani ngozi imekaukiana.

Hao hao wa Dar mpeleke Arusha au Dodoma kwenye baridi then baada ya mwezi mmoja tupe mrejesho. Utamkimbia
 
Mkoa gani huo ulikuta wachafu!??
Wangapi ulikuta wachafu?
Mikoa ya
1.Rukwa
2.Katavi
3.Kigoma
4.Tabora
5.Simiyu
6.Shinyanga
7Songw
8. Iringa
9.Singida
10.Arusha
11.Msoma
12.bukoba
13. Mwanza
15.Njombe
16.Mbeya huku ndiyo kunawake kama mapipa hayajulikani kiuno kiko wapi
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Mikoa ya
1.Rukwa
2.Katavi
3.Kigoma
4.Tabora
5.Simiyu
6.Shinyanga
7Songw
8. Iringa
9.Singida
10.Arusha
11.Msoma
12.bukoba
13. Mwanza
15.Njombe
16.Mbeya huku ndiyo kunawake kama mapipa hayajulikani kiuno kiko wapi

Nikupe pole..
Mbeya umesema Nini ati!????
Watu wa dar mna matatizo Sana...Sasa watu wa mbeya kuwa mapipa kunahusiana vipi na uchafu?
 
Habari ,,,Kweli nimeamini mjini ndio kila kitu! Hivi hawa wanawake wanao patikana hapa dar mbona wako tofauti sana na wa mikoa mingine? ,,,Wale wanaume mnaokaa huko mikoani njoneni mchukuwe wanawake hawa maana ni
1. Wazuri sana
2. Wanajuwa kupika
3. Wanajuwa mambo ya 6*6
4. Wasafi
5. Hawana malingo ya kipumbuvu
6. Wanajituma kwenye shughuri za maendeleo
Wako tofauti sana na wa kule kkwetu Arusha

Hawa wanatoka wapi?

Ukahaba ni tatizo kubwa sana kwa jamii kwa kipindi hiki. Mungu turehemu na utuepusha na hii roho toka kuzimu.
 
Ukahaba ni tatizo kubwa sana kwa jamii kwa kipindi hiki. Mungu turehemu na utuepusha na hii roho toka kuzimu.
Ukahaba UPI? Hivi MTU kuwa msafi ni ukahaba? Hivi unajielewa kweli wewe
 
Back
Top Bottom