Dar kumejaa wanawake wazuri sana

Dar kumejaa wanawake wazuri sana

Habari ,,,Kweli nimeamini mjini ndio kila kitu! Hivi hawa wanawake wanao patikana hapa dar mbona wako tofauti sana na wa mikoa mingine? ,,,Wale wanaume mnaokaa huko mikoani njoneni mchukuwe wanawake hawa maana ni
1. Wazuri sana
2. Wanajuwa kupika
3. Wanajuwa mambo ya 6*6
4. Wasafi
5. Hawana malingo ya kipumbuvu
6. Wanajituma kwenye shughuri za maendeleo
Wako tofauti sana na wa kule kkwetu Arusha

Hawa wanatoka wapi?
Wewe ni mvuta bangi na limbukeni kweli wadada wa huko niwazuri kushinda wa mikoani wanajua kupika woiii bangi unavuta kabisa
 
Eti wanajituma hao asilimia yao hawaumizi kichwa wao hupenda kupewa na wanahasara kuliko faida hakuna mtu atakubali kuoa huko kama anataka maendeleo mnichukie ila ni ukweli

Sawa na sisi hatutaki kuja kuwaoa huko tukiwaleta huku mtatusumbua sana
 
Katoto kazuri acha wivu bhana ,, utaolewa tuu mda ukifika
 
Sawa na sisi hatutaki kuja kuwaoa huko tukiwaleta huku mtatusumbua sana
Nani anataka invisible wewe ni invisible sasa hivi wadada wanaojitambua wanako busy laboratory wanatengeneza midoli ya kiume wakaishi nayo au wanyama nyie hamna jipya.
 
Back
Top Bottom