- Thread starter
- #21
Na bado akifika kwa bed analala tuu utasikia bado tuu humalizi aiiiseeDem wa Arusha ukimtongoza anakuuliza una sh. Ngapi, ukimjibu elfu 20. Anakuambia hiyo haifai![]()
Na bado akifika kwa bed analala tuu utasikia bado tuu humalizi aiiiseeDem wa Arusha ukimtongoza anakuuliza una sh. Ngapi, ukimjibu elfu 20. Anakuambia hiyo haifai![]()
Umeongea ukweliMaisha ya mjini ni tofauti na mikoani, kijijini kazi ni ngumu na watu wanatumia nguo mbaya mbaya wakiwa kazini, ila huku kazi soft na watu wanapendeza muda wote. Hata kuwaona wamependeza ni kazi zao hizo na pochi yako inatafutwa
Unarudi kigoma tena?Kwahiyo unataka kunambia Mimi naiabisha Dar,ilifaa niwe mkoani? Maana hizo sifa sina hata 1 na nipo Dar duh, narudi mkoani kwetuuu....![]()
DuhSasa kumbe ukishakojoa wakina trump kichwa kikubwa kitakuwa sawa
Na bado akifika kwa bed analala tuu utasikia bado tuu humalizi aiiisee
Nisubilie huko dasalamu nije nikuone kwanzaKwahiyo unataka kunambia Mimi naiabisha Dar,ilifaa niwe mkoani? Maana hizo sifa sina hata 1 na nipo Dar duh, narudi mkoani kwetuuu....![]()
Baada ya mavuno nitakuja nikuoneUmewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu
Wanawake wakiwa ni wengi sehemu moja huwa wanajitahd sana kuwa wasafi na wastaarabu ili kuweza kuikabili hali,ndyo maana mwanamke akifika Dsm anajitahid kujiweka smart kwenye kila jambo vinginevyo,hawezi tongozwa wala kusalimiwa na mwanaume yeyote!Nimezungukia vimikoa kadhaa ila Dar madem wengi ni wasafi sana.
Pia wanajua kujipamba na kujiremba.
Mikoani wanawake wa aina hii wapo ila sio wengi sana kama Dar.
Usirudi mkuu karibu kwangu nikulee ufanane na wa type ya mwenye uziKwahiyo unataka kunambia Mimi naiabisha Dar,ilifaa niwe mkoani? Maana hizo sifa sina hata 1 na nipo Dar duh, narudi mkoani kwetuuu....![]()
Na vipi kuhusu mashindano yao kuvalisha uso make ups tena zile nzito nzito mpaka wanabadilika sura wanakuwa kama vikatuni!?Wanawake wakiwa ni wengi sehemu moja huwa wanajitahd sana kuwa wasafi na wastaarabu ili kuweza kuikabili hali,ndyo maana mwanamke akifika Dsm anajitahid kujiweka smart kwenye kila jambo vinginevyo,hawezi tongozwa wala kusalimiwa na mwanaume yeyote!
Hahaa, mkuu nimeshindikana nadhani maana mwaka Wa 15 huu ila no changesUsirudi mkuu karibu kwangu nikulee ufanane na wa type ya mwenye uzi

Ni Sumbawanga kwetuuUnarudi kigoma tena?
PromoUmewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu
Zari anakuita kule instagramThibitisha.
VyoteMimi sijakuona cute ila naamini wewe ni mzuri Kama ulivyojisifia
Nakuuliza swali la kizushi
Uzuri upo kwenye mashine Je mashine upande wako inasaga au inakoboa?