katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
Hela ndio kila kitu mengine yatajileta tu vuu.Mi nafahamu pesa tuu, hivyo vingine nomaa, nimekubali kurudi tu![]()
Asikuoe presha huyo ni lofa kapewa kaupenyo kaja kujikosha huku.
Hela ndio kila kitu mengine yatajileta tu vuu.Mi nafahamu pesa tuu, hivyo vingine nomaa, nimekubali kurudi tu![]()
Isijekua umenifananisha mkuu, I am financial services wa BuzaNa kauzuri kote af et ohoooo naizalilisha dar

Sinaga wivu kabisa au unataka list marafiki zangu wameolewa na dada zangu mbona sijajiua au kuwafitini wanaume hawapo hujhi tu siku hizi lakini zamani walikuwepo.Katoto kazuri acha wivu bhana ,, utaolewa tuu mda ukifika
Nashukuru,atleast umenipa hope dear, wewe mkuu usinitisheee!,Hela ndio kila kitu mengine yatajileta tu vuu.
Asikuoe presha huyo ni lofa kapewa kaupenyo kaja kujikosha huku.

Hehehe aya bhana we zusha 2Isijekua umenifananisha mkuu, I am financial services wa Buza![]()
![]()
Wewe unaongelea Dodoma gani!?Mkuu Dodoma hamna kitu pale wengi wachafu chafu sana na sura mbovu mbovu sana,,
Mwambie huyu aje mji mkuu ajione mauwaridi ambayo mengi ndio kwanza yanaanza kuchanua.Kwetu dom mbona wapo smart
Kwamba akina nani hawana jipya?Nani anataka invisible wewe ni invisible sasa hivi wadada wanaojitambua wanako busy laboratory wanatengeneza midoli ya kiume wakaishi nayo au wanyama nyie hamna jipya.
Umewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu











😂 😂 😂 😂 😂 😂Mkuu hizo nyege zako tu zikiisha kichwa kikubwa kitafikiri vizuri.
Kaka ujakosea ni ukwel mtupu...ila ao jamaa wanaupnga ukwel tuHabari ,,,Kweli nimeamini mjini ndio kila kitu! Hivi hawa wanawake wanao patikana hapa dar mbona wako tofauti sana na wa mikoa mingine? ,,,Wale wanaume mnaokaa huko mikoani njoneni mchukuwe wanawake hawa maana ni
1. Wazuri sana
2. Wanajuwa kupika
3. Wanajuwa mambo ya 6*6
4. Wasafi
5. Hawana malingo ya kipumbuvu
6. Wanajituma kwenye shughuri za maendeleo
Wako tofauti sana na wa kule kkwetu Arusha
Hawa wanatoka wapi?


Matatutapu ya darNi nn hii boss
Ukanywe Yokozuna sasaKesho ndukiii, niwaachie mji wenye sifa zao![]()
Hahaha.. Naamini wewe sio mmoja ya hao wanawake wa dar wanaoamini kuwa mzuri mpaka uwe na rangi ya carrotAisee taratibu mdogo wangu
Watu weusi tupo wengi tu![]()


Umewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu