SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Wamedhamiria kumuua kabisa hawa magaidi wa kidola.
Uzuri na wao wanakufaKigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
Si amechanjwa au?
Leteni na taarifa za mahabusu wote wanaougua
Rest In Peace CHACHA WANGWE
How come?Rest In Peace CHACHA WANGWE
Kaka yako akitiwa ndani utaenda kuwawekea dhamana mahabusu wote? Acha mchezo huo🖕Leteni na taarifa za mahabusu wote wanaougua
Malaria haina chanjo na bado ndio ugonjwa unaoongoza kuua idadi kubwa ya watuSi amechanjwa au?
Au gonjwa jingine?
Bujibuji mzima kiongozi,ule mjadala wa miaka ile kuwa wewe ni -ke bado naukumbuka Sana mtumishi.Malaria haina chanjo na bado ndio ugonjwa unaoongoza kuua idadi kubwa ya watu
Sitaleta umbea wa kwamba anaumwa dunia nzima isikieKaka yako akitiwa ndani utaenda kuwawekea dhamana mahabusu wote? Acha mchezo huo🖕
🏳️🌈🏳️🌈🏳️🌈Sitaleta umbea wa kwamba anaumwa dunia nzima isikie
mbaaf wahed