Dar es Salaam kila baada ya mita tatu kuna ndoo ya maji na kitakasa mikono, hivi mbona Marekani utaratibu huu umewashinda, au ndoo kwao ni ghali sana?

Maji tiririka ni mbadala wa sanitizer kwa sisi masikini mkuu.I am sorry for you labda wewe umeifananisha U.S na melerani
Kuna koki za maji tiririka kila baada ya mita tatu? Unaweza ukatoka kutawaza chooni na sanitizer halafu ukaenda kula ugali?
 
Kuna koki za maji tiririka kila baada ya mita tatu? Unaweza ukatoka kutawaza chooni na sanitizer halafu ukaenda kula ugali?
Mkuu USA majority Kama sio wote wanatumia toilet paper lakini hata hivyo US hakuna choo kisicho na maji Kama huku kwetu.Pia Mimi sijasema kwamba US wanatumia sanitizer wakitoka chooni,Ila nimesema ni kweli wengi wao hawanawi maji wapotaka kula kwa kuwa wengi hutumia sanitizer na tisu.Sisi ukitaka kula lazima unawe hata bila sabuni na sababu moja wapo ni mavumbi na uchafu uliotabakaa kila sehemu.Kwa kifupi kulinganisha style ya maisha ya third world countries na first world inahitaji uwe juha kwanza
 
Kuna koki za maji tiririka kila baada ya mita tatu? Unaweza ukatoka kutawaza chooni na sanitizer halafu ukaenda kula ugali?
Mkuu USA majority Kama sio wote wanatumia toilet paper lakini hata hivyo US hakuna choo kisicho na maji Kama huku kwetu.Pia Mimi sijasema kwamba US wanatumia sanitizer wakitoka chooni,Ila nimesema ni kweli wengi wao hawanawi maji wapotaka kula kwa kuwa wengi hutumia sanitizer na tisu.Sisi ukitaka kula lazima unawe hata bila sabuni na sababu moja wapo ni mavumbi na uchafu uliotabakaa kila sehemu.Kwa kifupi kulinganisha style ya maisha ya third world countries na first world inahitaji uwe juha kwanza
 
Kuna koki za maji tiririka kila baada ya mita tatu? Unaweza ukatoka kutawaza chooni na sanitizer halafu ukaenda kula ugali?
Mkuu USA majority Kama sio wote wanatumia toilet paper lakini hata hivyo US hakuna choo kisicho na maji Kama huku kwetu.Pia Mimi sijasema kwamba US wanatumia sanitizer wakitoka chooni,Ila nimesema ni kweli wengi wao hawanawi maji wapotaka kula kwa kuwa wengi hutumia sanitizer na tisu.Sisi ukitaka kula lazima unawe hata bila sabuni na sababu moja wapo ni mavumbi na uchafu uliotabakaa kila sehemu.Kwa kifupi kulinganisha style ya maisha ya third world countries na first world inahitaji uwe juha kwanza
 
Mkuu USA majority Kama sio wote wanatumia toilet paper lakini hata hivyo US hakuna choo kisicho na maji Kama huku kwetu.Pia Mimi sijasema kwamba US wanatumia sanitizer wakitoka chooni,Ila nimesema ni kweli wengi wao hawanawi maji wapotaka kula kwa kuwa wengi hutumia sanitizer na tisu.Sisi ukitaka kula lazima unawe hata bila sabuni na sababu moja wapo ni mavumbi na uchafu uliotabakaa kila sehemu.Kwa kifupi kulinganisha style ya maisha ya third world countries na first world inahitaji uwe juha kwanza
Kwahiyo wana maji tiririka na sabuni kila baada ya mita tatu nje ya kila jengo?
 
Mkuu USA majority Kama sio wote wanatumia toilet paper lakini hata hivyo US hakuna choo kisicho na maji Kama huku kwetu.Pia Mimi sijasema kwamba US wanatumia sanitizer wakitoka chooni,Ila nimesema ni kweli wengi wao hawanawi maji wapotaka kula kwa kuwa wengi hutumia sanitizer na tisu.Sisi ukitaka kula lazima unawe hata bila sabuni na sababu moja wapo ni mavumbi na uchafu uliotabakaa kila sehemu.Kwa kifupi kulinganisha style ya maisha ya third world countries na first world inahitaji uwe juha kwanza
Anajitahidi ku justify uzembecwa serikali ya CCM kutosambaza maji tiririka
 
Hapa Dar es Salaam kila baada ya mita 2 au 3 kuna ndoo ya maji safi yenye koki ya kunawia pamoja na sabuni ya kubonyeza kwa ajili ya kutakasa mikono, na unaweza kuitumia huduma hiyo ya kunawa popote na muda wowote bila hata kumuuliza mwenye eneo husika.

Kwakuwa njia kuu hasa na ya uhakika ya kusambaa kwa virusi vya Corona ni kupitia mikono nadhani hii imesaidia sana hapa Dar watu wasife kwa maelfu kwa siku kama huko Marekani, unless Marekani haina uwezo wa kifedha wa kununua ndoo milioni kadhaa za kunawia ndani ya siku chache, nawashauri waige utaratibu huu wa kuweka ndoo za kunawia mitaani kama tulivyofanya Dar.

Pia jambo lingine linalotusaidia Dar kwa sasa ni hili la kuvaa barakoa kwa lazima, inaonekana kule Marekani barakoa ni ghali sana na kuna hatari ya watumishi wa afya kukosa barakoa endapo itatangazwa lazima kuvaa barakoa kabla ya kutoka nje.

Ndio maana wakasema kuvaa barakoa ni kwa wanaoumwa tu, lengo lao ni ili kuwaokoa watumishi wa afya ili wasikose barakoa, nitoe wito kwa serikali ya Marekani kuruhusu watu wajishonee barakoa zao wenyewe na iwe lazima kuvaa kabla ya kutoka nje.

Ifahamike kwamba unapokohoa ile barakoa inasaidia virusi visiende mbali.
Kuna ndoo kwa sababu hakuna bomba. Nchi zilizoendelea kila sehemu ni bomba. Na zaidi njia kuu ya kuenea kwa virus wa korona ni msongamano. Hata unawe kila sekunde kama upo kwenye msongamano ni bure. Tanzania imeamua kufanya usanii kwenye kukabiliana na virus. Wamechagua njia rahisi ya kunawa mikono na wakakwepa njia ngumu ya kuepuka misongamano. Hii ni hatari sana.
 
Kwahiyo wana maji tiririka na sabuni kila baada ya mita tatu nje ya kila jengo?
Kwenye nyumba zao zote kuna mabomba. Ukishakuwa na bomba ndani huhitaji kuweka ndoo barabarani. Hii ndiyo tabu ya kuzaliwa na kukulia sehemu moja yenye shida na umaskini. Unafikiri dunia yote watu wanaishi kwa shida kama wewe.
 
Kwahiyo wana maji tiririka na sabuni kila baada ya mita tatu nje ya kila jengo?
Mkuu mbona una kichwa kigumu? Nimekuambia maji tiririka ni substitute ya hand sanitizer.Hata hapa dar ukienda ofisi za watu wenye pesa zao,hawajaweka ndo mlangoni bali wameweka sanitizer.masikini wazio na uwezo kununua sanitizer ndo tunatumia ndoo za maji tiririka.Pia kwa mfano ukija kwangu ambapo nina mabomba yanayotoa maji 24/7 hutakuta ndoo
 
Kwenye nyumba zao zote kuna mabomba. Ukishakuwa na bomba ndani huhitaji kuweka ndoo barabarani. Hii ndiyo tabu ya kuzaliwa na kukulia sehemu moja yenye shida na umaskini. Unafikiri dunia yote watu wanaishi kwa shida kama wewe.
Mkuu nisaidie mkuu maana mie nishachoka kumuelimisha
 
Kuna koki za maji tiririka kila baada ya mita 3?
Zanini wakati kila mtu ana sanitizer (alcohol) yake kwenye pochi? Sanitizer ya bei ya chini kabisa ni dola 15 shilingi ngapi kwa bongo?
.
Huku hata kuchamba kwa kushika ny'a hakupo.
.
Hizo koki za kwenye hivyo vindoo vya dola mbili ni kila mtu anajifungulia au kuna mtu special anawafungulia?
 
Back
Top Bottom